Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

Wewe unaonekana ni bonge tu la MPAGANI usiyejua lolote kuhusu IMANI ya Kikristo! Hivi unaweza kuchukua SUMU NA KUIRAMBA ukitegemea Mungu atakulinda? Mungu hafanyi biashara za kijinga kama hizo!
Biblia inachosema ni KUWENI WEREVU KAMA NYOKA NA WAPOLE KAMA HUA !!Gwajihoy ametumia akili na werevu aliopewa na Mungu. Full stop!! Jua kuwa Mungu siyo wa maonyesho!!
 
Anajitekenya na kucheka mwenyewe,drama huenda zikamponza,time will tell..
 
Inaonekana hata hujui ushirikina ni nini,sasa nakujibu nini ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…