Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

Ivi hakusali au kukemea kabla ya kwenda pale,? make hata sisi huwa tunamwomba Mungu aondoshe vibwengo kabla ya kuanza safari.
 
Drama king kweli utaogopaje Corona kama ulishasema umesali na haiwezi kukupata? Drama king wa bongo
 
Mbona huwa anajigamba kwamba Mungu hashindwi na kitu na ndiye alituvusha kwenye wimbi la kwanza bila chanjo iweje Mungu huyo huyo leo asimwamini?
Umeshawaza kama kweli vilikuwa na kasoro?, hapo Mungu wake hajaonesha uwezo alionao?.

Fikiri zaidi Mkuu, fikiri pande mbili kama kulikuwa na mtego ni wazi kaukwepa hapo itakuwaje kashinda au kashindwa?
 
Kwa nini amekikataa kipaza sauti? Halafu umemuona yule polisi? Kasheshe. Ameletwa ndani (dangerous) convict.
Too many interviewers. Lakini,I suppose,kamati yote lazima iwepo pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…