Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima, amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.

Amehofu wasije kumkolimba? 😂😂
 
kakae mbele ya roli kama kweli una imani Mungu atakuokoa. yeye itakua amehisi wanaweza kuwa wameeka vitu sasa asiepuke kisa ana Mungu.
Bro watakuchosha hawa watu wanashindw kujiuliza kwanini tuna akili ya kun'gamua mambo,so ukiend hospitali unaumwa San usitibiwe sabb una I man I,
NB watu wangu wanaangamia kw kukosa maarifa.
 
Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima, amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.

Ccm hawaaminiani? Ila pia sio fair wamempa kakiti ka otelini na kanalangi tofauti na viti vingine wakati maviti yapo kibao, ok ngoja tuwachie wenyewe

MBOWE SIO GAIDI
KATIBA MPYA INAKUJA
 
Back
Top Bottom