Bungeni Dodoma: Mjumbe asema nchi zinazopiga kura za siri kupitisha katiba ni za mashoga!

Bungeni Dodoma: Mjumbe asema nchi zinazopiga kura za siri kupitisha katiba ni za mashoga!

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Amenishangaza mama mmoja mjumbe wa bunge la katiba aliposema kuwa nchi ambazo zimekuwa zikipiga kura ya siri kupitisha katiba zao ni nchi za mashoga. Ameyasema hayo leo alipokuwa akipinga upigaji wa kura za siri wakati wa kupitisha rasimu ya katiba kufuatia mifano iliyotolewa na mjumbe mwingine aliyekuwa akitaka kura zipigwe kwa siri na kutoa mifano ya nchi mbali mbali zilizopiga kura za siri wakati wa kupitisha katiba zao. Profesa Safari alimtaka yule mama atoe ushahidi na kama hana aombe radhi na kufuta kauli yake. Mwenyekiti wa muda Bw Pandu Kificho hakumpa nafasi yule mama kutoa ushahidi au kuomba radhi badala yake alisema wajumbe wawe makini kujadili mambo ili waepushe mjadala kwenda kwenye mambo mengine.
 
Ama kweli, kama ndiyo hivi SERIKALI MBILI ni lazima sasa.
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Wajumbe kama Hao sawa yake ni kuwarudisha home tu
 
Huyu ni Mbunge wa viti maalum CCM kutoka Unguja ......sijui hata quality yake ni kitu gani?
 
Yule Maza alijua yupo ukumbi wa taarabu!! anaropoka akiambiwa atoe ushahidi hamna. Tatizo la kukaririshwa hilo lazima mengine uyasahau then uongezee ya kwako!

Alibanwa na Prof. Safari ili atoe ushahIdi vinginevyo afute kauli yake - bahati nzuri akaokolewa na mwenyekiti Kificho.
 
Acha uongo wa kihuni sisi tupo bungeni ukitaka kuwa muongo jipange vizuri.
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Hata kwako wewe! Kuna nini? Kumbe una akili! Nilishakuweka kapuni, good to know that you can also see things the right way as others!
 
Yule Maza alijua yupo ukumbi wa taarabu!! anaropoka akiambiwa atoe ushahidi hamna. Tatizo la kukaririshwa hilo lazima mengine uyasahau then uongezee ya kwako!
Huu umbea hausaidii kitu jaribuni kuwa wakweli kama kweli mnajua mambo yalivyo.
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Leo unapingana na chama chako? ni kweli demokrasia ya woga ndani ya CCM ni ngumu sana kuitekeleza!! wana CCM sasa bila kificho wameichoka na ni hatari kwa uhai wa chama.
 
Amenishangaza mama mmoja mjumbe wa bunge la katiba aliposema kuwa nchi ambazo zimekuwa zikipiga kura ya siri kupitisha katiba zao ni nchi za mashoga. Ameyasema hayo leo alipokuwa akipinga upigaji wa kura za siri wakati wa kupitisha rasimu ya katiba kufuatia mifano iliyotolewa na mjumbe mwingine aliyekuwa akitaka kura zipigwe kwa siri na kutoa mifano ya nchi mbali mbali zilizopiga kura za siri wakati wa kupitisha katiba zao. Profesa Safari alimtaka yule mama atoe ushahidi na kama hana aombe radhi na kufuta kauli yake. Mwenyekiti wa muda Bw Pandu Kificho hakumpa nafasi yule mama kutoa ushahidi au kuomba radhi badala yake alisema wajumbe wawe makini kujadili mambo ili waepushe mjadala kwenda kwenye mambo mengine.

Wana wa ibirisi ni harisi na wana wa Mungu ni harisi'

nilimsikia anaongea na mambo ya eti mwili wa mwanamke ukiwa kwenye...................... mh
 
Wana wa ibirisi ni harisi na wana wa Mungu ni harisi'

nilimsikia anaongea na mambo ya eti mwili wa mwanamke ukiwa kwenye...................... mh

Yule mama kweli hajatulia. Sasa anaposema kupiga kura za siri ni ushoga, na sisi huwa tunapiga kura za siri kumchagua rais, wabunge, madiwani na viongozi wa ngazi mbali mbali za kisiasa, kidini na kijamii. Sasa kama kupiga kura za siri ni ushoga, basi hata Zanzibar na Tanganyika ni za mashoga na kwa maana hiyo hata wao huko bungeni wanapopiga kura za siri kuchaguana, ushoga! Huyu mama katoa kali ya mwaka!
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama

Siku hizi umeacha pombe kumbe.Ila sijui kama nape akisoma hii utabaki salama.Ngoja
 
Acha uongo wa kihuni sisi tupo bungeni ukitaka kuwa muongo jipange vizuri.
Kama wewe ni mjumbe, bila shaka ni mmoja wa wajumbe wanaolala bungeni au una matatizo ya kusikia hivyo ulitakiwa utoe taarifa mapema ili wakuandalie vifaa vya kuongeza usikivu. Hebu waulize hata wenzako waliokuwa macho wakati huyo mama anaongea au kama uko Dodoma lakini si mjumbe waulize watu waliokuwa wakiangalia TV live watakwambia. Kwa taarifa yako huyo mama karudia mara mbili kauli ya kuwa nchi zinazopiga kura ya siri ni za mashoga. Wakati mwingine jifunzeni kufanya tafiti kabla ya kukurupuka na kujibu halafu mwishoni unaonekana mjinga. Hata ungetulia kidogo na kusoma comments za wachangiaji wenzako ungejua kuwa ni uongo au kweli. Mheshimiwa yanayofanyika na kuzungumzwa huko kwenye bunge la katiba yanarushwa moja kwa moja kupitia TBC. Tunapoleta baadhi ya hoja humu tunaamusha mijadala kwa lengo la kukosoa na kuelimishana. Si kila mtu huwa anakuwa anaangalia TV lakini kupitia JF unaweza kujua kitu cha maana na cha hovyo kilichofanyika na kuzungumzwa ndani ya bunge hilo. Halafu una sema 'sisi'! Ni akina nani nyie msie kuwa na busara kiasi hicho cha kukurupuka na kutumia lugha za hovyo kwa kitu msichokijua? Shame on you!
 
Amenishangaza mama mmoja mjumbe wa bunge la katiba aliposema kuwa nchi ambazo zimekuwa zikipiga kura ya siri kupitisha katiba zao ni nchi za mashoga. Ameyasema hayo leo alipokuwa akipinga upigaji wa kura za siri wakati wa kupitisha rasimu ya katiba kufuatia mifano iliyotolewa na mjumbe mwingine aliyekuwa akitaka kura zipigwe kwa siri na kutoa mifano ya nchi mbali mbali zilizopiga kura za siri wakati wa kupitisha katiba zao. Profesa Safari alimtaka yule mama atoe ushahidi na kama hana aombe radhi na kufuta kauli yake. Mwenyekiti wa muda Bw Pandu Kificho hakumpa nafasi yule mama kutoa ushahidi au kuomba radhi badala yake alisema wajumbe wawe makini kujadili mambo ili waepushe mjadala kwenda kwenye mambo mengine.


huyo mama mwenye mawazo na kauli kama hizo alifikaje bungeni!?
 
Alafu mtu kama huyu na yule aliyesingizia 'allergy' unakuta wanawaambia watoto na jamaa zao kuwa "mimi niliteuliwa na rais" japo hawezi kuwaambia ule ukweli aliousema Mch. Mtikila juu ya hili bunge.
Kweli watz tuna hali mbaya!
 
Kama wewe ni mjumbe, bila shaka ni mmoja wa wajumbe wanaolala bungeni au una matatizo ya kusikia hivyo ulitakiwa utoe taarifa mapema ili wakuandalie vifaa vya kuongeza usikivu. Hebu waulize hata wenzako waliokuwa macho wakati huyo mama anaongea au kama uko Dodoma lakini si mjumbe waulize watu waliokuwa wakiangalia TV live watakwambia. Kwa taarifa yako huyo mama karudia mara mbili kauli ya kuwa nchi zinazopiga kura ya siri ni za mashoga. Wakati mwingine jifunzeni kufanya tafiti kabla ya kukurupuka na kujibu halafu mwishoni unaonekana mjinga. Hata ungetulia kidogo na kusoma comments za wachangiaji wenzako ungejua kuwa ni uongo au kweli. Mheshimiwa yanayofanyika na kuzungumzwa huko kwenye bunge la katiba yanarushwa moja kwa moja kupitia TBC. Tunapoleta baadhi ya hoja humu tunaamusha mijadala kwa lengo la kukosoa na kuelimishana. Si kila mtu huwa anakuwa anaangalia TV lakini kupitia JF unaweza kujua kitu cha maana na cha hovyo kilichofanyika na kuzungumzwa ndani ya bunge hilo. Halafu una sema 'sisi'! Ni akina nani nyie msie kuwa na busara kiasi hicho cha kukurupuka na kutumia lugha za hovyo kwa kitu msichokijua? Shame on you!

Mkuu, usipoteze muda kujibishana na huyo tutusa simiyu. Yeye kakaririshwa na lichama lake apinge kila kitu ambacho ni cha manufaa kwa wananchi. Hovyo kabisa huyo.
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama

Mkuu kwa hili nakupa big up bro, ni muhimu tukaweka utaifa mbele kwenye mambo ya msingi tukaachana masuala ya itikadi!!
 
Back
Top Bottom