Bungeni Dodoma: Mjumbe asema nchi zinazopiga kura za siri kupitisha katiba ni za mashoga!

Bungeni Dodoma: Mjumbe asema nchi zinazopiga kura za siri kupitisha katiba ni za mashoga!

Huyu ni Mbunge wa viti maalum CCM kutoka Unguja ......sijui hata quality yake ni kitu gani?

Sijui aliambiwa kuwa nchi za mashoga ndizo zinapigaje na wanae ambao wanaishi huko ushogani? Mie sijui au alijuaje? ebu niambieni mie.
 
Huyo mama inaonesha anazijua vyema sana habari za mashoga...
 
Kwa anayemfahamu kwa majina kamili ayaweke hapa tufuatilie matokeo yake huko skuli jambiani.
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama

Lazima kuna mtu ameiba ID yako. Hujawahi kuzungumzaga pointi hata siku moja zaidi ya leo, toka nakufahamu humu jukwaani. Endelea kujitambua hivi hivi kama ni wewe ndiye aliyeandika.
 
Kwa anayemfahamu kwa majina kamili ayaweke hapa tufuatilie matokeo yake huko skuli jambiani.

Atakuwa na elimu ya primary school aliyopatia skuli ya Kibinua kiuno, hapo Nchambawima.
 
Amenishangaza mama mmoja mjumbe wa bunge la katiba aliposema kuwa nchi ambazo zimekuwa zikipiga kura ya siri kupitisha katiba zao ni nchi za mashoga. Ameyasema hayo leo alipokuwa akipinga upigaji wa kura za siri wakati wa kupitisha rasimu ya katiba kufuatia mifano iliyotolewa na mjumbe mwingine aliyekuwa akitaka kura zipigwe kwa siri na kutoa mifano ya nchi mbali mbali zilizopiga kura za siri wakati wa kupitisha katiba zao. Profesa Safari alimtaka yule mama atoe ushahidi na kama hana aombe radhi na kufuta kauli yake. Mwenyekiti wa muda Bw Pandu Kificho hakumpa nafasi yule mama kutoa ushahidi au kuomba radhi badala yake alisema wajumbe wawe makini kujadili mambo ili waepushe mjadala kwenda kwenye mambo mengine.

Majority ya kina dada wa huko kabla ya kuolewa hutumika huko kisogoni, labda kakumbukia wakati huo
 
Mtikila aliyaona haya yanayotokea...mustakabali wa hii nchi utakuja kuamuliwa na vijana kama sio sisi basi watoto wetu..itafika kipindi tutachoka saana na tutaona heri kufa kuliko kupokonywa kila kitu..
 
.......huyo Mama(Mjumbe) hajitambui na inaonekana dhairi kabisa hajui anachokifanya huko Bungeni;
atahivyo ilitakiwa uchambuzi/mchujo ufanyike kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri badala ya kupewa tiketi za kuingia kwenye Bunge la Katiba moja kwa moja.....kwakweli wengine siyo kabisa.
 
Halafu mlimwona alivyokuwa akicheza cheza utadhani yupo Bar mara baada ya kutema pumba zake?Huyu mama lazima atakuwa SHANGINGI mzoefu kwa vyovyote vile.Nasikitika kuona pesa yangu ya kodi inaenda kupotezwa bure kwa Wabunge wa aina hii!!
 
Halafu mlimwona alivyokuwa akicheza cheza utadhani yupo Bar mara baada ya kutema pumba zake?Huyu mama lazima atakuwa SHANGINGI mzoefu kwa vyovyote vile.Nasikitika kuona pesa yangu ya kodi inaenda kupotezwa bure kwa Wabunge wa aina hii!!
....haya MAJANGA jamani, Ole wao wafanye mchezo watulee KATIBA mbovu; Pesa zetu tunayokamuliwa kupitia kwenye KODI zitawatokea puani.
 
Sababu babake shoga anafikiri kila mtu shoga.na hizo chaguzi kuu tufanyazo ataziitaje
 
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.

Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.

Hii katiba ni ya watanzania sio vyama

mkuu toka upeleke rambirambi, una ongea poit kama lema, hongera zako mkuu, saivi upo vizur ajabu!..
 
Back
Top Bottom