Yule mama kweli hajatulia. Sasa anaposema kupiga kura za siri ni ushoga, na sisi huwa tunapiga kura za siri kumchagua rais, wabunge, madiwani na viongozi wa ngazi mbali mbali za kisiasa, kidini na kijamii. Sasa kama kupiga kura za siri ni ushoga, basi hata Zanzibar na Tanganyika ni za mashoga na kwa maana hiyo hata wao huko bungeni wanapopiga kura za siri kuchaguana, ushoga! Huyu mama katoa kali ya mwaka!
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.
Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.
Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Kosa kubwa lililofanyika ni kuwateua wanasiasa kuwa wabunge wa hili bunge la katiba. Wao wanaendeleza utamaduni uleule wa kwenye bunge la JMT wa kuamua mambo kichama zaidi.Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.
Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.
Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Hata kwako wewe! Kuna nini? Kumbe una akili! Nilishakuweka kapuni, good to know that you can also see things the right way as others!
Acha uongo wa kihuni sisi tupo bungeni ukitaka kuwa muongo jipange vizuri.
Kumbe kuna wakati kichwa chako kinatulia na kunena ya msingi? Umekula nini leo wewe? Basi ulichokula leo ndicho unachopaswa kula kila siku.Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.
Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.
Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Halelujah!!! Wonderful!!!!! The guy is back to his senses.
Tiba
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.
Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.
Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Wajumbe kama Hao sawa yake ni kuwarudisha home tu
Duh!Na wewe uko kwenye Bunge la katiba??!!Kazi ipo kwa kweli.Acha uongo wa kihuni sisi tupo bungeni ukitaka kuwa muongo jipange vizuri.
Lukosi naona leo hukuamka na hangoverKama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.
Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.
Hii katiba ni ya watanzania sio vyama
Huu umbea hausaidii kitu jaribuni kuwa wakweli kama kweli mnajua mambo yalivyo.
Hivi unajua ulichoandika kweli???Au umesukumwa tu na ushabiki??!!Huyu mama wa zenj kasema ukweli mtupu.ukweli unaumiza wasioupenda.nani hajui kwamba nchi taja zinamsakama Museveni kwa kusaini ile sheria ya kulinda ubinadamu.Kura za siri lengo lake ni kupitisha mambo ya aina hii ni kupitisha mambo ya aina hii kisiri siri.Hatari sana.Nisiyemuelewa ni huyu Safari.anatetea nini hasa.wenyewe hawajifichi.Mama Mbunge usikatishwe tamaa.kaza buti
Huyu mama wa zenj kasema ukweli mtupu.ukweli unaumiza wasioupenda.nani hajui kwamba nchi taja zinamsakama Museveni kwa kusaini ile sheria ya kulinda ubinadamu.Kura za siri lengo lake ni kupitisha mambo ya aina hii ni kupitisha mambo ya aina hii kisiri siri.Hatari sana.Nisiyemuelewa ni huyu Safari.anatetea nini hasa.wenyewe hawajifichi.Mama Mbunge usikatishwe tamaa.kaza buti
Amenishangaza mama mmoja mjumbe wa bunge la katiba aliposema kuwa nchi ambazo zimekuwa zikipiga kura ya siri kupitisha katiba zao ni nchi za mashoga. Ameyasema hayo leo alipokuwa akipinga upigaji wa kura za siri wakati wa kupitisha rasimu ya katiba kufuatia mifano iliyotolewa na mjumbe mwingine aliyekuwa akitaka kura zipigwe kwa siri na kutoa mifano ya nchi mbali mbali zilizopiga kura za siri wakati wa kupitisha katiba zao. Profesa Safari alimtaka yule mama atoe ushahidi na kama hana aombe radhi na kufuta kauli yake. Mwenyekiti wa muda Bw Pandu Kificho hakumpa nafasi yule mama kutoa ushahidi au kuomba radhi badala yake alisema wajumbe wawe makini kujadili mambo ili waepushe mjadala kwenda kwenye mambo mengine.
Kama ni hivyo, naona huyo mjumbe anatutukana wengi sasa.
Kura ya wazi haiwezi kuwa ya haki kwani watu watapiga kura kwa nidhamu ya woga.
Hii katiba ni ya watanzania sio vyama