Sasa kitambulisho cha taifa.Kwa kweli NIDA wanapwaya kwenye kila saizi...
Kuna jamaa yangu kitambulisho chake kimeisha muda wake miaka miwili sasa, pamoja na kukamilisha taratibu zote za kuhuisha kitambulisho ikiwemo malipo, bado haijulikani kitambulisho kitatoka lini.
Kuna tatizo la kufanya kazi kwa mazoea pale NIDA na zaidi sana elimu duni.
Ulikuwa UNAMAANISHA "BUNGE"Binge la mazuzu
Yeye mbona hajaitwa kuhijiwa kwa kushindwa kusimamia sheria za bunge?Spika wa Bunge, Job Ndugai ameitaka Kamati ya Ulinzi na Usalama kuiita Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), akisema hawafanyi kazi
nzuri
Akizungumza leo katika Kikao cha Kwanza, Mkutano wa Tano wa Bunge la 13 amesema, "Ndiyo kazi yenu kupitia hizi Kamati, waiteni kieleweke. Tumeanza nao kitambo sana"
Aidha, Mbunge wa Makunduchi amehoji kwanini uzalishaji wa Vitambulisho umepungua kwa kiasi kikubwa licha ya NIDA kuomba mashine nyingine mbili za Uzalishaji
Ni ulevi wa madaraka na kusahau kuwa binadamu wote sawa mbele ya Mungu.Ndugai huwa anajiona bonge la kiongozi ila basi tu
Ndugaye hana ujanja wa kumhoji wazirikwani waziri husika akihojiwa anasemaje???
Mimi tangu 2017Nilijiandikisha tarehe 12 mwezi wa 9 mwaka 2020.
Nakwenda nida naambiwa kitambulisho hakijatoka[emoji3][emoji3][emoji3].
Nida comedy sana
Hapo nawaona mugambo wanaruka na kukanyagana tuEbungoja tuone, maana nchi ishakua ngumu sana hii..[emoji56]
Alipewa lini hadi kiishe muda??Kwa kweli NIDA wanapwaya kwenye kila saizi...
Kuna jamaa yangu kitambulisho chake kimeisha muda wake miaka miwili sasa, pamoja na kukamilisha taratibu zote za kuhuisha kitambulisho ikiwemo malipo, bado haijulikani kitambulisho kitatoka lini.
Kuna tatizo la kufanya kazi kwa mazoea pale NIDA na zaidi sana elimu duni.
DishMtu Kama alimchagua Sabaya kua DC, unadhani kichwa chake kitakuaje?
Bunge linapitisha sheria kandamizi za miamala wanatukamua kodi kila kona.Kwani Bunge linafanya kazi vizuri, ni wale wale tu asitake kushikia chini wenzie wakati ye mwenyewe kimeo!!!
Ni kada wa chama hivyo hawana uhalali wa kumhojiKwani waziri wa mambo ya ndani hayumo humo bungeni???
Kuna kitu wanaita maduhuri ya Serikali, pamoja na kupokea malipo kadi hupati na bado wanaendelea kuomba tena bila aibu wanaendelea, kuwategemea wahisani kuendesha Serikali. Kitambulisho cha Taifa kinapaswa kutolewa bila kuweka "expiry date" ya muda mfupi.Sasa kitambulisho cha taifa.
"Expire date"
Ya Nini?
Au kuna Muda mtu uraia wake unabadilika?
Uongo umeuona wapi? Kwenye andiko langu kuna uongo? Halafu napata faida gani kwa kuandika uongo hapa?.Alipewa lini hadi kiishe muda??
Sawa wanazingua lakini uongo sio dili
Wapi2025 tunaenda na ndugaiView attachment 1995612
Magogoni mkuu[emoji4]Wapi
Labda ku update picha maana baada ya miaka 10 sura haiwezi kua ile ileSasa kitambulisho cha taifa.
"Expire date"
Ya Nini?
Au kuna Muda mtu uraia wake unabadilika?