beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Serikali imeagiza Wazalishaji na Wasambazaji wa bidhaa muhimu kushusha mara moja bei za bidhaa zinazopandishwa pasipo kuendana na uhalisia wa Soko.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za uhaba na upandaji wa bei usioendana na uhalisia wa Soko kwenye bidhaa za Ujenzi, Vyakula, Nishati na pembejeo za Kilimo.
Amesema, hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo ikiwemo Usimamiaji wa Sheria za Ushindani na kutafuta vyanzo mbadala vya upatikanaji wa bidhaa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za uhaba na upandaji wa bei usioendana na uhalisia wa Soko kwenye bidhaa za Ujenzi, Vyakula, Nishati na pembejeo za Kilimo.
Amesema, hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo ikiwemo Usimamiaji wa Sheria za Ushindani na kutafuta vyanzo mbadala vya upatikanaji wa bidhaa.