Bungeni, Dodoma: Wazalishaji/Wasambazaji waelekezwa kushusha bei za bidhaa muhimu

Bungeni, Dodoma: Wazalishaji/Wasambazaji waelekezwa kushusha bei za bidhaa muhimu

Bora wakae kimya tujue tunapambana na hali zetu
 
Serikali imeagiza Wazalishaji na Wasambazaji wa bidhaa muhimu kushusha mara moja bei za bidhaa zinazopandishwa pasipo kuendana na uhalisia wa Soko...
Wao waanze kushusha bei ya mafuta ya magari.
 
Agizo la kuwazuga wapiga kura

Kama Fuel imepanda na Rais alituandaa kisaikolojia siku ya kukabidhiwa report ya ukaguzi ya National Audit Office iweje leo watoe amri hiyo ya juu juu eti bei zishuke mara moja
 
Serikali imeagiza Wazalishaji na Wasambazaji wa bidhaa muhimu kushusha mara moja bei za bidhaa zinazopandishwa pasipo kuendana na uhalisia wa Soko.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za uhaba na upandaji wa bei usioendana na uhalisia wa Soko kwenye bidhaa za Ujenzi, Vyakula, Nishati na pembejeo za Kilimo.

Amesema, hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo ikiwemo Usimamiaji wa Sheria za Ushindani na kutafuta vyanzo mbadala vya upatikanaji wa bidhaa.

IMG_0754.jpg

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa hio kuagiza tu unaona inatosha au basi tu unajiongelesha ili siku ziende wewe uendelee kula maisha ?
Unaagiza vitu vishushwe Bei wakati huo yanapandisha bei ya petrol,na hivyo vitu me himu ili vitoke viwandani,mashambani lazima vije kwa petrol,ama kweli sisi watanzania ni kichwa Cha mwendawazimu.
 
Agizo la kuwazuga wapiga kura

Kama Fuel imepanda na Rais alituandaa kisaikolojia siku ya kukabidhiwa report ya ukaguzi ya National Audit Office iweje leo watoe amri hiyo ya juu juu eti bei zishuke mara moja
Kuna shida ipo mahali huku bara, zenj petrol 2400 , mafuta ya kula Lita 4800
Screenshot_20220406-142301_1.jpg
 
Serikali imeagiza Wazalishaji na Wasambazaji wa bidhaa muhimu kushusha mara moja bei za bidhaa zinazopandishwa pasipo kuendana na uhalisia wa Soko.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za uhaba na upandaji wa bei usioendana na uhalisia wa Soko kwenye bidhaa za Ujenzi, Vyakula, Nishati na pembejeo za Kilimo.

Amesema, hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo ikiwemo Usimamiaji wa Sheria za Ushindani na kutafuta vyanzo mbadala vya upatikanaji wa bidhaa.
Jana niliuliza bei ya maji ya kunywa sehemu 1.6 lt Afya. Nikaambiwa 700 badala ya 500. Nikatoka na kustuka sana
 
Serikali imeagiza Wazalishaji na Wasambazaji wa bidhaa muhimu kushusha mara moja bei za bidhaa zinazopandishwa pasipo kuendana na uhalisia wa Soko.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za uhaba na upandaji wa bei usioendana na uhalisia wa Soko kwenye bidhaa za Ujenzi, Vyakula, Nishati na pembejeo za Kilimo.

Amesema, hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo ikiwemo Usimamiaji wa Sheria za Ushindani na kutafuta vyanzo mbadala vya upatikanaji wa bidhaa.
Narudia tena,bei haziwezi kushuka kwa matamko na maelekezo.

Bei zinapangwa na soko kama hamuamini subirieni kesho tuone kama zitashuka.

Pili tunaelekea msimu wa mavuno kwa baadhi ya mikoa bei zikishuka isije singiziwa kauli ya PM.

Tatu mafuta yamepanda jiandaeni nauli kupanda sasa tutaona kama matamko huwa yanashusha bei..

Matamko na biti za mwendazake hazikuwahi shusha bei ya sukari,saruji,mabati nk .
 
Serikali imeagiza Wazalishaji na Wasambazaji wa bidhaa muhimu kushusha mara moja bei za bidhaa zinazopandishwa pasipo kuendana na uhalisia wa Soko.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hivi karibuni kumekuwepo na taarifa za uhaba na upandaji wa bei usioendana na uhalisia wa Soko kwenye bidhaa za Ujenzi, Vyakula, Nishati na pembejeo za Kilimo.

Amesema, hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo ikiwemo Usimamiaji wa Sheria za Ushindani na kutafuta vyanzo mbadala vya upatikanaji wa bidhaa.
Waongo tu wanaongea tu
 
Narudia tena,bei haziwezi kushuka kwa matamko na maelekezo.

Bei zinapangwa na soko kama hamuamini subirieni kesho tuone kama zitashuka.

Pili tunaelekea msimu wa mavuno kwa baadhi ya mikoa bei zikishuka isije singiziwa kauli ya PM.

Tatu mafuta yamepanda jiandaeni nauli kupanda sasa tutaona kama matamko huwa yanashusha bei..

Matamko na biti za mwendazake hazikuwahi shusha bei ya sukari,saruji,mabati nk .
They just dont care simply they do not think they can be responsible leaders.

Haya matamko ni futile
 
Mama-Watanzania waambiwe gharama za maisha zitapanda kwasababu ya vita ya Urus na Ukrein. Majaaliwa vitu vishushwe bei visipande kiholela!!!! Mang'ombe tunapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa? Vile mnajua kura za wananchi hazinaga madhara kwakuwa kuna vipengele vya kupita bila kupingwa haina shida.
 
Majaliwa huyu huyu kaagiza? Hakuna kitu hapo vitu vitaendelea kupanda sn
Hizo tenda zenyewe za kuingiza hivyo vitu nchini wamegawana waowenyewe huku kwenye kushika maiki ni kutuzuga tu ili tuwaone kuwa tupo pamoja, upuuzi mtupu.
 
Bidhaa kupanda bei kunachangiwa na mambo mengi, sasa kama mfano mafuta yamepanda bei unategemea anayesambaza bidhaa husika kwa usafiri hatopandisha bei!?

Mikiki mikiki ya TRA, Tozo kibao kwenye mihamala unategemea hizo Operation cost zinarudije?

Mfano ikifika msimu wa mavuno Serikali inategemea mkulima alieyenunua mbolea bei juu atauza mazao yake kwa bei ya zamani?
 
Lakini anapotoa maagizo hayo amefanya utafiti kwanini zinapanda? Au ndio kusema kitu ambacho hakitekelezeki.

Mtu amechukua viazi mbeya kwenda Dar, ambapo mwenye lori ameongeza gharama ya kusafirisha kwa ajili ya ongezeko la mafuta na vipuli. Yeye akifika Dar asiongeze bei kisa waziri kasema.
Serkali imefanya nini kuhakikisha visababishi vya kupanda bei imevithibiti? Zaidi imetangaza kuongeza tozo ile 100 ili wasikose mapato.
Mkulima abaki palepale hata kama pembejeo zimepanda kwa kuwa waziri kasema.
Serkali iuze hizo bidhaa tuone
 
Mama-Watanzania waambiwe gharama za maisha zitapanda kwasababu ya vita ya Urus na Ukrein. Majaaliwa vitu vishushwe bei visipande kiholela!!!! Mang'ombe tunapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa? Vile mnajua kura za wananchi hazinaga madhara kwakuwa kuna vipengele vya kupita bila kupingwa haina shida.
Sio Samia wala Majaliwa wote walipita bila kupingwa na haku a wa kuhoji wala kuzuia.
 
Back
Top Bottom