mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Muheshimiwa mbunge nikijibu kwa Moto tukumbuke "Nina file milembe"Ndugu mbunge, ili kumpunguzia majukumu mh spika inabidi ukumbuke kuwa dawa ya Moto sio maji.
Ondoa shaka kabisa mhe: mbunge nchi yeti ya Jamii forum iko salama kabisa,Mugmheshimiwa spika swali la nyongeza. Mbona waanzilishi wengi wa nyuzi wanahoji uhalisia/matukio tunayoyafanya, je hili haliwezi kua mbinu za wasiojulikana kuunga doti?
🙋🙋Makofi ya kibungeOndoa shaka kabisa mhe: mbunge nchi yeti ya Jamii forum iko salama kabisa,
Kutekana hayo ni mambo ya kawaida ata nchi kama marekani huwa yanatokea sana
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mheshimiwa sana spika, kwanza ningeomba ututhibitishie ni vipi unaweza kutuhakikishia usalama wetu.
Karibuni bungeni, katika Nchi ya Jamii Forum,
Njooni tujadili Changamoto, maendeleo na kupanga bajeti ya Nchi yetu ya Jamii forum ,
Bila kusahau Report ya CAG, Bajeti ya Nchi na fedha za miradi,
Usiache kuhoji zile ajira zilizotolewa hapa nchini za mawaziri wa serikari(Mod) kama zilitolewa kihalali bila Rushwa,
Karibuni bungeni usisahau neno "Mhe spika"
Kila na baada ya kumaliza hoja yako.
Cc Zero iq
Cc Zero iq
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sio sana.. Fala kilo moja na nusu[emoji3][emoji3][emoji3] we fala daah...
Hazitoshi ndugu mh. Spika nipo nasomesha michepuko yangu miwili chuo kikuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mhe mbunge vipi Posho za kikao hazikutoshi