Bungeni: Kamati yapendekeza 'siwa' mpya.

Bungeni: Kamati yapendekeza 'siwa' mpya.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,149
Reaction score
3,825
WanaJF,

Kamati iliyoundwa kushughurikia kanuni za bunge maalumu la katiba, pamoja na mambo mengine, leo imependekeza SIWA MPYA kutengenezwa mahususi kwa ajili ya bunge hili la katiba.

Ndugu mwenyekiti wa kamati alieleza kuwa, kwa kuwa jambo la kuandaa katiba ya nchi yetu ni la kihistoria, hivyo bunge lina kila sababu ya kutengeneza SIWA mpya kwa ajili ya tukio hilo.

SIWA iliyopendekezwa iliombwa kuwa ya dhahabu na aluminium.
 
Huo ni ubabaishaji mwingine,gharama zote hizo za nini?kwanza hata ukarabati wa bunge wa bln 8 haukuwa na sababu,kwa nini wasingefanyia mwl nyerere conference center?au hapa aicc arusha,naamini gharama zingekuwa chini,watanzania wanataka katiba bora,halafu baada ya bunge utaambiwa siwa limepotea utafikiri lina miguu linatembea.
 
Hili bunge linaboar kweli,kwanini wasijadili mambo ya msingi kuhusu ardhi,kilimo,elimu nk?hayo masiwa yanatusaidiaje sisi walala hoi?
 
waacheni wahangaike hapo dodoma wakimaliza watatuambia, maana wengine wamepeleka njaa zao kule
 
Hivi hiyo habari ya siwa kwann isingemaliziwa kule kwenye ukarabati wa bunge ?
This is very stupid aisee
 
Duh!! hadi sasa hatujasikia lolote la maana lililowapeleka huko ni vituko kila kukicha, na hiki kinachoendelea nafikiri kinasababishwa na huyu mwenyekiti wa Muda kwani elimu yake ni ndogo (Form six na Diploma ya sheria)na ili kulithibitisha hilo tuchunguze na kuangalia ni nini alikuwa anakifanya na kinachofanyika katika lile bunge lao kule Zanzibar kwani huwa ni la hovyohovyo tu halina mbele wala nyuma.
 
Mungu wangu...hawa watu watajadili kitu cha maana kinachohusiana na katiba kweli?...yetu masikio na macho...
 
Hii ni mark-time march tu kupoteza muda ili wazidi kudunduliza posho, second week sasa hakuna cha maana. Tuliowatuma are not serious!
 
Hapo tayari pesa zimeshapigwa tayari na sasa ni kutafuta njia ya kuhalalisha tu.Siajabu ukasikia siwa imegharimu Bilioni mbili au hata zaidi!Nchi hii pesa za kuchezea huwa hazikosekani ila ikija suala la muhimu linakumbana na ufinyu wa bajeti!Kwani katiba yenyewe si ndio kumbu kumbu ya maana?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Top Hopelessness of these Times!
Hiyo Siwa inasaidia nini kwenye hatima ya Watanzania kwa miaka 50+ ijayo?...Mbona kwenye Bunge la kawaida watu wanatukanana na kutandikana vipepsi, hiyo siwa inasaidia kitu gani?...nashauri wamkamate mmojawapo apelekwe maabara kwa kulazimishwa, achunguzwe kama ana sehemu za siri za kawaida!
IMG_0119.JPG
 
Yaani maCCM ni ya ajabu sana! pumba kwa kwenda mbele na kugombea posho tuuu ndo kazi yao iliyowapeleka mjengoni!
 
Hivi hawa watu wanajua kwanini wako pale Dodoma kweli? mimi nina wasiwasi hawajui kilichowapeleka Dodoma
 
Are these guys real serious kutupatia katiba mpya!!Days are counted down na hakuna la maana walilojadili hadi sasa. Fu*#&$&them...
 
Duh!! hadi sasa hatujasikia lolote la maana lililowapeleka huko ni vituko kila kukicha, na hiki kinachoendelea nafikiri kinasababishwa na huyu mwenyekiti wa Muda kwani elimu yake ni ndogo (Form six na Diploma ya sheria)na ili kulithibitisha hilo tuchunguze na kuangalia ni nini alikuwa anakifanya na kinachofanyika katika lile bunge lao kule Zanzibar kwani huwa ni la hovyohovyo tu halina mbele wala nyuma.
kwa ccm hawaangali hilo wao wanaangalia rafiki/shoga mchumba na kuendelea kapata nyumba au ukumbi au biashara ambayo kwa kumbukumbu ya katiba mpya itaitwa ukumbi wa katiba au katiba house , katiba trans e.t.c e.t.c
 
Duh!! hadi sasa hatujasikia lolote la maana lililowapeleka huko ni vituko kila kukicha, na hiki kinachoendelea nafikiri kinasababishwa na huyu mwenyekiti wa Muda kwani elimu yake ni ndogo (Form six na Diploma ya sheria)na ili kulithibitisha hilo tuchunguze na kuangalia ni nini alikuwa anakifanya na kinachofanyika katika lile bunge lao kule Zanzibar kwani huwa ni la hovyohovyo tu halina mbele wala nyuma.


Tungejua kwanza wajumbe wa hiyo kamati, mwanzoni nlisikia kamati ilikua na wataalamu wa sheria sasa kama hilo pendekezo limetoka kwenye kamati yenye wataalamu wa sheria ni tatizo lingine hilo.
 
Wana wa lucifer wanatengeneza kinyago chao cha kuabudu! Na hiyo siwa itawafumba kabisa HEKIMA, BUSARA, UFAHAMU na MAARIFA hata ile kidogo waliyobaki nayo shetani anabeba!
 
Back
Top Bottom