Bungeni Leo: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atoa maelekezo mapya uendeshaji wa treni ya SGR

Acha ujinga mkuu.. hatuokoti mabundle
 
..Sgr inapaswa kuwa ya MIZIGO.

..biashara ya abiria itabidi shirika lipewe ruzuku.

..na nimeona kuna matumizi yasiyo ya lazima ikiwemo kuajiri mamia ya wahudumu
ktk treni.
We jamaa vipi aisee una mambo ya kizee sana.

Watu tunataka tuogeshwe na warembo huko kwenye treni unaleta mambo yako ya ufipa hapa.
 
We kariri tu mambo ya mabusi basi pale kuna watu wamekata kupitia mitandaoni na wakawa wamepanga foleni waiprint iwe kwenye mfumo wa ticket ya karatasi sasa kama unaona tunajitakia lipia hapo kwenye simu alafu nenda
Kwanza kajifunze maana ya kukariri,usipende kudandia maneno. Nikirudi kwenye mada nimesema hilo jambo serikali ina uwezo kabisa wa kuweka mfumo mzuri na rafiki ili kuondoa foleni na kuokoa muda,wana kila kitu kuanzia utaalamu mpaka uwezeshaji. Mfano wanaweza kutengeneza electric kadi kama za mwendo kasi na zikawa zinauzwa siyo tuu hapo stesheni bali hata kwa maajenti au Maduka yenye vigezo. Unanua kadi popote unaweka pesa then ukifika stesheni ni kuchanja tuu unaenda zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…