Bungeni live: Ufafanuzi wa hoja za wajumbe kuhusiana na rasimu.

Bungeni live: Ufafanuzi wa hoja za wajumbe kuhusiana na rasimu.

UFAFANUZI WA KURA YA SIRI vs KURA YA WAZI. kamati imejadili suala la upigaji wa kura kwa namna ya siri na wazi na vilevile kamati imekubali kuwa namna zote za upigaji kura zipo sawa, hivyo kamati imeona ni vyema wajumbe wenyewe waliamue suala la upigaji kura. Hivyo suala hili limerudishwa kwa wajumbe wenyewe.

Kamati imeogopa kujilipua sasa wamepeleka mabomu kwa Pandu A. Kificho. Wajumbe wapige kura ya siri kuamua kama wanataka kura ya siri au ya wazi.
 
UFAFANUZI WA KURA YA SIRI vs KURA YA WAZI. kamati imejadili suala la upigaji wa kura kwa namna ya siri na wazi na vilevile kamati imekubali kuwa namna zote za upigaji kura zipo sawa, hivyo kamati imeona ni vyema wajumbe wenyewe waliamue suala la upigaji kura. Hivyo suala hili limerudishwa kwa wajumbe wenyewe.

Wee naweka kama ligeni humu, nenda juu edit then andika

UPDATE
..............
mwaga vitu tufatilie pale.

Usitulete ushamba hapa.
 
siwa imekataliwa kwenye bunge la katiba ili kuokoa gharama. watanzania bana! ina maana posho ina gharama ndogo kuliko siwa?
 
Back
Top Bottom