Bungeni live: Ufafanuzi wa hoja za wajumbe kuhusiana na rasimu.


Kamati imeogopa kujilipua sasa wamepeleka mabomu kwa Pandu A. Kificho. Wajumbe wapige kura ya siri kuamua kama wanataka kura ya siri au ya wazi.
 

Wee naweka kama ligeni humu, nenda juu edit then andika

UPDATE
..............
mwaga vitu tufatilie pale.

Usitulete ushamba hapa.
 
siwa imekataliwa kwenye bunge la katiba ili kuokoa gharama. watanzania bana! ina maana posho ina gharama ndogo kuliko siwa?
 
Dah... Mwanza umeme tayari, Jana walikata ujambazi ukatokea, sijui leo ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…