Bungeni: Majaliwa awatoa hofu wadau mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta

Bungeni: Majaliwa awatoa hofu wadau mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
LEO BUNGENI DODOMA

MAJALIWA AWATOA HOFU WADAU MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA

Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa awatoa hofu wadau wa mazingira na wa haki za binadamu kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Tanzania mpaka Unganda kuwa Mradi huo utazingatia Diplomasia za kitaifa na kimataifa.


 
LEO BUNGENI DODOMA

MAJALIWA AWATOA HOFU WADAU MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA

Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa awatoa hofu wadau wa mazingira na wa haki za binadamu kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Tanzania mpaka Unganda kuwa Mradi huo utazingatia Diplomasia za kitaifa na kimataifa.

Haaminiki,wenye maamuzi ya mwisho ni Total na Uganda.
 
Iwapo TOTAL na mabenki ya mabeberu wakijiondoa ku finance mradi kwa shinikizo la beberu, je suluhu itakuwa nini?
 
Back
Top Bottom