Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndiye aliyemfanyia lobbying kwa Mzee Ruksa akachaguliwa naibu waziri alipokuwa bado chamani kule Ntwara !!..sio " kidume " huyu?
..ana mume au bwana?
..labda atapewa maana marehemu baba[ capt.ukiwaona ramadhani mwinshehe ditopile mzuzuri ] yake alikuwa rafiki mkubwa wa Mzee Kikwete.
Sema Best Man wa Harusi ya Kikwete! Na Mkewe Ni Swahiba Mkubwa Sana Wa Salma..sio " kidume " huyu?
..ana mume au bwana?
..labda atapewa maana marehemu baba[ capt.ukiwaona ramadhani mwinshehe ditopile mzuzuri ] yake alikuwa rafiki mkubwa wa Mzee Kikwete.
Na ndiye aliyemfanyia lobbying kwa Mzee Ruksa akachaguliwa naibu waziri alipokuwa bado chamani kule Ntwara !!
Inasemekana hivyo !..kwani ditopile alimtangulia kikwete kupata uteuzi? hebu nikumbushe kidogo.
Inasemekana hivyo !
Mia kwa mia naunga mkono hoja !Naunga mkono hoja apewe unaibu walau
wewe sijui ndio umecoment nini jamaa hakuwekwa huru na mfumo jinai bali inasemekana alikufa wakati bado kesi yake ya mauaji inaendelea sasa inasemekana ni kama mchezo wa daudi bilaliNi muhimu kuheshimu watu, jamii na hata taifa kwa ujumla.
Fikra na maelezo ya kijingajinga namna hii yasipewe nafasi kwa kuwa yanaweza kuharibu jamii na taifa.
Janjajanja ili nini? Mfumo jinai mwenye uamuzi wa mwisho ni Rais kwa mujibu wa sheria na katiba kwa wakati huo hadi sasa.
Unamuona Rais JK ni mjinga kiasi kwamba ashindwe kujua mamlaka yake ya kuamua kumuweka huru kisheria bila hiyo janjajanja ya kifo?
usije ukalalamika wakija kupewa hata na mashogaNaunga mkono hoja apewe unaibu walau
Daudi Balali bado yupo. ?wewe sijui ndio umecoment nini jamaa hakuwekwa huru na mfumo jinai bali inasemekana alikufa wakati bado kesi yake ya mauaji inaendelea sasa inasemekana ni kama mchezo wa daudi bilali
Ninachopinga ni huo ujinga wa kufikiria kuwa kifo ilikuwa mchezo.wewe sijui ndio umecoment nini jamaa hakuwekwa huru na mfumo jinai bali inasemekana alikufa wakati bado kesi yake ya mauaji inaendelea sasa inasemekana ni kama mchezo wa daudi bilali
mkuu kwema!?Kila la kheri zake...
Kwema kabisa...mkuu kwema!?
Kazi iendelee kwa kasiKwema kabisa...
Yeah apeweNaunga mkono hoja apewe unaibu walau