Mbowe naye amekuwa sanaUkizoea kula nyama ya mtu kamwe huachi.
Maendeleo hayana vyama.
CCM pambaneni sasa.
Upinzani uliwachelewesha
Wamezoea kuua kweli kweliUkizoea kula nyama ya mtu kamwe huachi.
Maendeleo hayana vyama.
CCM pambaneni sasa.
Upinzani uliwachelewesha
Amefunzwa hivyo na CCMJamaa makatili sana wale
Mbona ni hatari sana.Ni kweli watu wanauwawa vifo vya kutisha ikiwemo kuchunwa ngozi za kwenye nyayo & mikononi kisha kuachwa porini ili uliwe na fisi
Kweli kabisaVita ya majangili na askari wa wanyamapori sio ya kuiongelea, askari nao wanauwawa sana wakiotewa