Bungeni: Mwenyekiti PAC amtaka Kangi Lugola kutoa maelezo kuhusu sakata la ufisadi katika ununuzi wa sare za Jeshi la Polisi nchini

Alimkalia kooni mcha Mungu, CAG Professor Assad, Lugola afanye haraka akamuombe msamaha ili roho ya Assad ikunjuke, bila hivyo ataendelea kuwa na wakati mgumu sana.

Alimdhulumu Assad kwa kujihami yeye na Allah anasema, hazidishiwi mwenye kudhulumu isipokuwa hasara.
 
huyu hapa
 

Attachments

  • Bunge hili la CCM lina unafiki sana. Spika anatumika hovyo. Wakati Kangi Lugola ( Source ).mp4
    3.2 MB
Halafu Lugola huyo huyo atagombea ubunge kwa tiketi ya Chadema!
 
Alhaj Assad yule aliyezushiwa kutekwa na ustaadh Zitto Kabwe?
 
Ukila na kipofu Usimguse mikono sasa Lugola aka mzee wa ilani alisahau kupereka 10 pacent sasa yanamtokea puani
 
Weka link ulipotoa tukaitazame huko, vi file namna hiyo huwa najikinga navyo sana kufunguwa, nilishakumbwa na kirusi. Au ipandishe YouTube.
ukianza kuchagua video maana yake device yako ni Tecno
 
Kwani lazima alivyoishi mwalimu kika mtu afanye hivyo. Hata hueleweki.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zidumu fikra za mwalimu wangu Assad ..
 
Point
 
Kwa heshima na taadhima kwa moyo mkunjufu, kwa mikono yangu meupe nikiwa kama waziri makini, ambaye naitakia mema nchi hii, natetea rasilimali za Watanzania na tumuogope Mungu, sijawahi kuona mtu muongo kama CAG
 
Jinamizi la LUGUMI halijaibuka tena???

Ila wafuasi wa chama fulani kwa UNAFIKI wana PhD...

Tumeipenda wenyewe....


Everyday is Saturday...............😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…