Bunju Complex ni mali ya Mo, si mali ya Simba SC

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Uwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo".

Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.

Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.
 
Umeniwahi Mtani nilitaka kukutag mana nimeona sehemu mnafurahia eti unaitwa Sijui Mo ninini huko. 🀣🀣🀣

Unaitwaje vile huo Uwanja? πŸ‘‚πŸ‘‚
Simba Mo Arena.

Hahaha ni heshima tu mtani tunampa
Kama ambavyo taifa kule tumempa Mzee Mkapa.

Kumbuka baada ya uwekezaji wake ndo haya yote yanafanyika.
 
Kwani uwanja ule mo kaukuta ama umemkuta,jibu hapo kwanza
 
Oooh! Kuumbe eee.

Haya mupeni heshima yake ila musije jutia tu baadae.
Unapesa ya kuja nunua hisa zake Simba ??

Unajua waswahili akili zao ni fupi sana..simba , uwanja vyote ni mali yake...akifa watamilik watoto , wakifa inaenda kwa wajukuu, wasipo itaka wanauzia mtu mwingine...mnyororo uko hivyo, hakuna namna simba inakuja kurudi mikonon mwa wanachama kama awali...

Unakuja jutia unajutia nini ?? Kama una pesa ya kwenda mpokonya hapo sawa
 
Hivyo munambembeleza ili hata akitaka kufanya amuzi lisilo ageuke nyuma na kukumbuka.

Mmeona mbali Mtani. πŸ˜…πŸ˜…
Hahaha
Mtani; Mimi naamini chini yake simba itapiga hatua.

Hizi kelele nyingi zinatoka uko mabondeni na pia kwa vijana wa mzee kilomoni.
 
Mmiliki wa Simba
Ni wanachama wa Simba na ndio wenye hisa nyingi.

Na ukijue waswahili wakiamua walete kelele hisa zake mo ataziona chungu na kuzikimbia.

Boss hii ni Africa
 
Sawa uwanja wa mo, nyie wa manji uko wapi?
 
Naona unakazia ili nichambwe zaidi Mtani. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hadi nimeenda kuedit comment yangu mana Mkuu kawaka mpaka nawaza ningekuwa karibu yake nini kingetokea. Teh teh.
Hahaha

Mpira ni Buradani mtani.

Ila baadhi ya watu wanauchukulia kwa useriousness huo mpaka kufikia kutoa lugha ya kuudhi. Kiukweli huu ni uzwa uzwa mtani. Kama huwezi bishana kwa hoja ama huwezi matani ni bora mtu jiepushe na mijadala kama hii.
 
Hahaha

Mpira ni Buradani mtani.

Ila baadhi ya watu wanauchukulia kwa useriousness huo mpaka kufikia kutoa lugha ya kuudhi. Kiukweli huu ni uzwa uzwa mtani. Kama huwezi bishana kwa hoja ama huwezi matani ni bora mtu jiepushe na mijadala kama hii.
Hahahaaa. Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…