Buriani Amina Chifupa!

Status
Not open for further replies.
Baba wa marehemu ni Muislam na anajua fika baada ya maiti kuoshwa na kusaliwa breki inayofuata ni MAKABURINI lakini ukweli ni kuwa Shkhe Mkuu wa BAKWATA inawezekana ndiye Consultant wa hao waGALA na inawezekana yeye ndiye aliyetoa Rukhsa na idea ya mwili wa Marehemu upelekwe DODOMA kisha IRINGA

Kwa faida ya nani? GAVANA mla RUSHWA ?
 
Nooo!....
Labda jamaa walirudiana bila sisi kujua! kuna kila dalili ilitokea hivyo maanake ndoa kama hiyo sio lazima kuwepo na sherehe.
Inasemekana Amina alipewa talaka moja, ambayo ni equivalent na separation, lakini hakuwa divorced.
 
wewe ndio uliyetoa hizo statements na sasa unamuuliza nani ? nilidhani utakuwa na majibu yote hayo, kwani sheikh mkuu ana connection gani na kiongozi wa serikali zaidi ya kusalia maiti na kuiombea dua ? na huo msemo wako wa kusema sijui kasema mwili upelekwe dom kisha iringa, r u kiding me mzee ? yeye ni nani mpaka atoe uamuzi/ushauri huo ?
 
Inasemekana Amina alipewa talaka moja, ambayo ni equivalent na separation, lakini hakuwa divorced.
TAFADHALI KAMA HUJUI KITU KUHUSU ISLAMIC LAW bora uzungumze siasa

KATIKA UISLAM HAKUNA TALAKA MBILI WALA TATU

TALAKA NI MOJA TUU NA HIYO NDIYO ALIYOITOA HUYO MEDI SASA TANGU LINI TALAKA UKAGEUKA KUWA SEPARATION?
 
TAFADHALI KAMA HUJUI KITU KUHUSU ISLAMIC LAW bora uzungumze siasa

KATIKA UISLAM HAKUNA TALAKA MBILI WALA TATU

TALAKA NI MOJA TUU NA HIYO NDIYO ALIYOITOA HUYO MEDI SASA TANGU LINI TALAKA UKAGEUKA KUWA SEPARATION?
Ok, Sheikh Barabaraya18! Talaka rejea je?
 
TAFADHALI KAMA HUJUI KITU KUHUSU ISLAMIC LAW bora uzungumze siasa

KATIKA UISLAM HAKUNA TALAKA MBILI WALA TATU

TALAKA NI MOJA TUU NA HIYO NDIYO ALIYOITOA HUYO MEDI SASA TANGU LINI TALAKA UKAGEUKA KUWA SEPARATION?

Lakini baba yake Amina ndiye aliyefafanua kuwa Amina hakupewa talaka tatu, bali ilikuwa talaka moja, kwa hiyo aliendelea kuhudumiwa na mumewe.
 
Lakini baba yake Amina ndiye aliyefafanua kuwa Amina hakupewa talaka tatu, bali ilikuwa talaka moja, kwa hiyo aliendelea kuhudumiwa na mumewe.

ATAHUDUMIWA VIPI NA MUMEWE ILI HALI KESHAPEWA TALAKA? HUYU BINTI ALIKUWA HANA MUME, SEMA UISLAM UNAKUBALI KAMA KUNA GREEMENT BTW 2 PARTIES KUWA KUTAKUWA MA KUHUDUMIANA KIBINADAMU SAWA, UNLESS UNAONGELEA MEDI MPAKANJIA KUMHUDUMIA MWANAYE AMINA.
 
Nini maana ya talaka Tatu?...
Talaka tatu ni uwezo wa kurudiana ktk ndoa zilizovunjika....
Hii ikiwa na maana kwamba Ukimtarakia mwanamke (kumwacha) anakuwa Sii mkeo tena ana uhuru wa kuolewa na mtu yeyote ama kuendelea na maisha yake. Ila mnaweza kurudiana bila taratibu za mwanzo ikiwa mtarakiwa ataridhika kurudi na hana mume. mara ya pili vile vile lakini ya tatu ni mwisho wa mchezo wa marudiano. Kwa hiyo sii swala la karatasi ngapi za talaka zimetolewa!
Baada ya mara 2 hapa tena kuna sheria nyinginezo zinatumika!...
 

NDUGU MKANDARA

KATIKA UISLAM AU ISLAMIC JURISPRUDENCE HAKUNA KITU KINAITWA TALKA TATU
 
Barabaraya18,
Noo usiseme hivyo hata kidogo hizi ni tofauti za madhehebu kwa hiyo usije sema hakuna kitu hiki!....nilivyosema ndivyo inavyotumika. Wapo wanaotoa karatasi tatu kwa mara moja hiyo ndio talaka inayosemwa hakuna ktk Uislaam.
 
ATAHUDUMIWA VIPI NA MUMEWE ILI HALI KESHAPEWA TALAKA? HUYU BINTI ALIKUWA HANA MUME, SEMA UISLAM UNAKUBALI KAMA KUNA GREEMENT BTW 2 PARTIES KUWA KUTAKUWA MA KUHUDUMIANA KIBINADAMU SAWA, UNLESS UNAONGELEA MEDI MPAKANJIA KUMHUDUMIA MWANAYE AMINA.

Tusiojua islamic law hatuwezi kupinga unayosema. Hata hivyo jambo hili lilichambuliwa na mwandishi mmoja katika gazeti la Majira hapa na kuonekana kuwepo kwa possibility kuwa talaka aliyopewa ni separation ambapo atakaa eda kwa miezi mitatu wakati wakijaribu kusuluhisha tofauti zao. Endapo katika miezi hiyo mitatu watashindwa kabisa kumaliza tofauti zao, ndipo talaka hiyo inakuwa divorce na hapo hawawezi kurudiana tena; ila wakiweza kumaliza tofauti zao, wanaweza kurudiana wakati wowote kabla ya hiyo miezi mitatu.
 
nadhani mamake amina ni mkristo ( not too sure ) maana niliona jina lake ni Digna, sasa msinirukie hapa kusema kwani mtu akiitwa digna la kizungu lazima awe mkristo, i understand that. hakuna jina la kikristo wala la kiislamu bali majina niya kizungu, kiarabu, kiyahudi, kiswahili, n.k na either way anaweza akawa dini yeyote.
 

Upande wa mama yake Marehemu Amina ni wakristo. Jina la mama yake ni "Juliana Mbanga." Hata hivyo mazishi ya Amina yalifanyika kwa taratibu za kiislamu.
 
Kwa sababu amina ni MUSILAM
Ndiyo, ninafahamu hivyo.

Inaonekana statement yangu hiyo imeonekana kuwa awkward kwa vile niliondoa sentense moja mbele yake iliyokuwa inasema "Mazishi yalifanyika kwa babu yake marehemu upande wa mama ambaye ni mkiristo." nikaweka ile ya "Jina la mama yake ni "Juliana Mbanga.""
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…