Buriani Amina Chifupa!

Status
Not open for further replies.
wewe jibu swali bana !

Kadampinzani,

Naona tunakwenda mbali sana. Kama huwezi kuelewa ninaloandika basi niulize nifafanue, na usipokubaliana nami pia useme na kwa kwa nini hukubalini nami; hiyo itanisadia na mimi kujifunza kutoka kwako. Mambo ya kushambuliana hayatusadii lolote. Nilipotofautisha science na scientism ulinielewa kweli? Kama umenielewa hayo maneno ya "kuna mtu kasema science na uchawi sijui nini na nini" na hapa kunishupalia kuwa "wewe jibu swali bwana" yanatoka wapi.


Mwanzoni nilichukulia swali lako kama swali la kawaida na nikakujibu very sincerely kwenye post yangu hapa. Lakini sasa naona umezidi kuwa too personal na nadhani kuwa hatuwezi kuendelea kujadiliana namna hiyo. Afterall hayo mambo haya hayana uhusiano sana na mada hii, tunai-dilute bure.
 
Baada ya maelezo hayo mafupi, ninakujibu kuwa mimi ninaamini kuwa uchawi upo. Watu wasiomcha Mungu ni wafuasi wa shetani na mojawapo ya zawadi zao kutoka kwa shetani ni nguvu za uchawi.

Hii imenifurahisha kweli!


wewe jibu swali bana !
Will it make any difference anywhere? hii itahamisha mjadala kwa mhusika na familia yake na kwenda kwa mwana JF... sidhani kama itasaidia zaidi ya kuleta ugomvi usio na sababu
 

Had similar thoughts goind through my mind some while back in here JF, and was about to ask 'what's up man?' Need to be strong and get away by all means possible. Anyways, can get help if need it. Just get courage.
 


Hii umeielezea kwa makini sana...good work.
 
basi usilie ndugu Kichuguu. nilikuwa tu nataka unijibu swali langu, but dont mind anyway !
 
Hili la kifo cha Amina lisiwe siri

Tahariri: Tanzania Daima, jumapili, 15 Julai 2007

 
wana jf naona tumeingiza mada nyingine ambayo nadhani ni bora kuifungulia thread inayojitegemea nayo kuwepo ama kutokuwepo kwa uchawi,kutumika ama kutotumika kwa uchawi katika kufikia mafanikio
 
Heshima zenu watanzania,

Natumaini hii imefikia tamati, naiweka Kabrasha kwa sasa na ikihitajika tafadhalini fanya kutukumbusha tutairejesha HARAKA iwezekanavyo.

Wasalaam
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…