Buriani Bandari ya Mombasa, Sisi Tulikupenda Wachina Wamekupenda Zaidi

Buriani Bandari ya Mombasa, Sisi Tulikupenda Wachina Wamekupenda Zaidi

Hili jukwaa bila wabongo kupita lingeshajifia zaman sababu wakenya wote wa Jf wana mtazamo mmoja kuhusu nchi yao humu wenyewe wanajiita wazalendo kumbe upimbi tu hawanufaiki na lolote kwenye ujinga wote wanaoupamba humu!
 
Hili jukwaa bila wabongo kupita lingeshajifia zaman sababu wakenya wote wa Jf wana mtazamo mmoja kuhusu nchi yao humu wenyewe wanajiita wazalendo kumbe upimbi tu hawanufaiki na lolote kwenye ujinga wote wanaoupamba humu!
Duh!kama vile watz support each other hata kwa ujinga. Eti wabongo hawafi na juzi mlizindua Lori ya mazishi
 
Kwanza leta maana ya neno "may" na "takeover". Au kwa pamoja " may takeover".

Ahaaa haaa haaa
hii ni finance mama siyo grammar.
public notice au announcement kama hizi zina effect kubwa sana. leo hii Kenya ingekuwa a listed company ungeona jinsi shares value zake zilivyoshuka. referring to the orthodox divided policy theory, modigliani and milla.

hilo tangazo haliwezi kuja tu bila kuonesha dalili za kuto lipa.

pia utaona national credit rating inayokuja. score itakuwa chini zaidi.
 
Kwani hawa ndugu zetu wanadaiwa sh ngapi. Jiwe huu ndio muda wa yeye kucheza kama pele.

Nunua hiyo mombasa jiwe.
 
Hayo ni moja ya madhara MIKOPO ya masharti nafuu terms and conditions applys. Mchina ukizingua hakwepeshi
 
Hayo ni moja ya madhara MIKOPO ya masharti nafuu terms and conditions applys. Mchina ukizingua hakwepeshi

Teh teh teh tihiii
China hana mikopo ya masharti nafuu. yeye ni mwendo wa commercial loans na SIYO concessional loans.
 
Kwanini sasa

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Numbers are not adding up as the cost per unit for shipping CARGO vide SGR is far more expensive that shipping the same unit vide the road. This creates a very stiff competition, hence unable to achieve the projected revenue.
 
Bora waiichukue aise maana dah hata DAR port itaumia kiana
Numbers are not adding up as the cost per unit for shipping CARGO vide SGR is far more expensive that shipping the same unit vide the road. This creates a very stiff competition, hence unable to achieve the projected revenue.

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Kabla ya kushangilia misiba ya wengine (kama kweli na ndivyo hivyo wasema) tufikirie watu utakuwa mkubwa kiasi gani hasa baada ya miaka kumi ya ya utawala wa sasa... outcomes za ndege, bwawa la umeme, SGR, Daraja la Sallender, Flyovers na vingine vilivyo fanikishwa kwa cash ( fedha yetu) vitakapoanza kujibu... kwa Sasa tujitahidi kuwa watazamaji wazuri na tujifunze kwa mataifa mengine kwa upole maaana Hilo lililo mbele yetu hakuna alijuae...... [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
sijui ni aina gani ya mikopo ambayo China ilitoa kwa Kenya. Kuna tetesi kuwa huenda China ikatwaa bandari ya Mombasa baada ya kushindwa kulipa mkopo iliyokopa China kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa SGR.


Chinese may take over Mombasa port: Ouko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kushangilia misiba ya wengine (kama kweli na ndivyo hivyo wasema) tufikirie watu utakuwa mkubwa kiasi gani hasa baada ya miaka kumi ya ya utawala wa sasa... outcomes za ndege, bwawa la umeme, SGR, Daraja la Sallender, Flyovers na vingine vilivyo fanikishwa kwa cash ( fedha yetu) vitakapoanza kujibu... kwa Sasa tujitahidi kuwa watazamaji wazuri na tujifunze kwa mataifa mengine kwa upole maaana Hilo lililo mbele yetu hakuna alijuae...... [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app


Ahaaa haaa haaa
Sisi ndege hatujakopa. Tumelipa in cash.
 
Ahaaa haaa haaa
Sisi ndege hatujakopa. Tumelipa in cash.
Hiyo tutakuja kujua baadae kama hakuna atakaye kuja kudai.. Maana isije kuwa kama Mozambique ambapo serikali zilizopita zilichukua mikopo mikubwa ya kificho Na sasa msala umeisanukia serikali ya sasa Na tayari mmoja ya watoto wa former President wa Mozambique sasa kimemuwakia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom