Buriani Captain Malik, "Encyclopedia" ya historia ya mpira wa Tanzania

Buriani Captain Malik, "Encyclopedia" ya historia ya mpira wa Tanzania

Mzee Mohaned Said, huyu Captain Malik aliwahi kucheza pamoja na Sayid Hussein Badawi au yeye alikuja baadae?
 
Na wewe mzee wangu ALLAH amekujaalia kipaji kikubwa sana cha uandishi. Aina ya uandishi wako inavutia na haichoshi.

Uwe pole kwa msiba.

ALLAH amjaalie kauli thabiti marehemu.

Sisi sote ni wa ALLAH nasi kwake tutarejea.
Chenji..
Ahsante sana ndugu yangu.
 
Mzee Mohaned Said, huyu Captain Malik aliwahi kucheza pamoja na Sayid Hussein Badawi au yeye alikuja baadae?
Sesten,
Wakati wao mmoja.

Shariff alikuwa Cosmopolitan na Captain Malik Yanga.

Na club zao ziko jirani sana.

Cosmo wako Sikukuu na Mafia na Yanga wako Sukuma na Mafia.
 
Sesten,
Wakati wao mmoja.

Shariff alikuwa Cosmopolitan na Captain Malik Yanga.

Na club zao ziko jirani sana.

Cosmo wako Sikukuu na Mafia na Yanga wako Sukuma na Mafia.
Shukran saana.

Shariff Hussein Badawi sasa hivi yupo Kenya kwenye kitongoji maarufu kinaitwa Mambrui kama kilometa 10 hivi kutoka Malindi

Umri wake umeenda si haba ila maradhi ya sukari yanamsumbua katika utu uzima wake. Mungu Ampe afya
 
Huyo jamaa hajamjua Mzee Mohamed na fix zake pamoja na Udini alio nao.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Unajifanya unamjua sana Mohamed; ninakuhakikishia pengine mimi ninamfahamu zaidi kuliko wewe kwani mara ya kwanza kuonana nae alikuwa kijana akifanya kazi bandari kabla ya kujiunga na UDSM!!
 
Unajifanya unamjua sana Mohamed; ninakuhakikishia pengine mimi ninamfahamu zaidi kuliko wewe kwani mara ya kwanza kuonana nae alikuwa kijana akifanya kazi bandari kabla ya kujiunga na UDSM!!
sawa
 
Unajifanya unamjua sana Mohamed; ninakuhakikishia pengine mimi ninamfahamu zaidi kuliko wewe kwani mara ya kwanza kuonana nae alikuwa kijana akifanya kazi bandari kabla ya kujiunga na UDSM!!
Hebu tuambie alisoma UDSM miaka ipi?

Tusaidie kwahilo tafadhali.
 
Nafuu hujamtaja majina yake ya kwanza, kwakuwa kama ni Mkristo utagombana na huyu Mzee sasa hivi.

Ndio maana hapo majina ya kikristo aliyoyataja ni ya hao wazungu wawili tu.

Means Tanganyika haikuwa na mchezaji Mkristo wakati huo hata mmoja kote Simba na Yanga?

Mkiwa mnamsoma huyu Mzee inawapasa kuijua sababu ya kupost, Mimi nilishamsoma saikolojia yake katika mada zake huyu Mnafiki.

Kuna ujumbe alikuwa anatoa hapa kinafiki

Pia kuweni makini na Uongo alio nao.
Lakini mbona kaiandika vizuri sana historia ya huyu bwana mbona wewe povu
 
Huyo anatoa historia ya mji wa dsm ambao wakazi wake kiasili ni wa pwani ambao majority ni waislamu siyo ajabu kutokuwa na watu wa dini zingine,
Zamani wakristo katika miji ya pwani walikuwa ni wageni hvyo usitaraji historia ya zamani ya miji hiyonitaje wakristu wengi
 
Hebu tuambie alisoma UDSM miaka ipi?

Tusaidie kwahilo tafadhali.

Wewe ulipokuwa tutorial Assistant wenzio tulikwisha maliza!! Enzi za wakina Clive Thomas, Tzentes,Rodney,Wadada Nabudere na Yash Tandon!!! Marehemu Haroub Othman na Boraafya wakiwa Lecturers faculty of Law.
 
Wewe ulipokuwa tutorial Assistant wenzio tulikwisha maliza!! Enzi za wakina Clive Thomas, Tzentes,Rodney,Wadada Nabudere na Yash Tandon!!! Marehemu Haroub Othman na Boraafya wakiwa Lecturers faculty of Law.
Sijakataa, hapo pia wapo ninaowafahamu vizuri na kazi zao hata kama hawakunifundisha.

Mohamed Said alisoma Mwaka upi mpaka upi?
 
Back
Top Bottom