Buriani Dkt. Ndugulile - Barua toka CANADA

Buriani Dkt. Ndugulile - Barua toka CANADA

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Wananzengo nimeona mtandaoni barua toka Canada, Mtanzania akimlilia Dr Ndugulile:

FROM OTAWA...........................Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini ?

Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully.

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania.

Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure, those are not places to go. Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be, sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi Watanzania wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sana ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sana, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly, international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, poleni tena sana!

RIP DR NDUGULILE

PIA SOMA
- TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
 
Waachane na hizi hospitali za chini ya kiwango, watibiwe hapa hapa Mloganzila, Amana, temeke nk.

Serikali ipige marufuku kwa viongozi kwenda kutibiwa nje ilihali Serikali imefanya juhudu kubwa kuziboresha hospitali za ndani kama pale Ligula Mtwara, Meta Mbeya, Amana, nk kiasi cha kufikia 1st class.

Hizi hospitali zetu ni Bora kabisa kuliko hata zile za USA.
 
Wananzengo nimeona mtandaoni barua toka Canada, Mtanzania akimlilia Dr Ndugulile:

FROM OTAWA...........................Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini ?

Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully.

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania.

Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure, those are not places to go. Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be, sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi Watanzania wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sana ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sana, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly, international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, poleni tena sana!

RIP DR NDUGULILE

PIA SOMA
- TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
Barua Nzito sana
 
Kifo kina ratiba zake, tofauti kabisa na ratiba ya mwanadamu.

1. Kuna bibi harusi alifariki baada ya kutoka kanisani akiwa njiani kwenda ukumbini.
2. Kuna mbunge alifariki mara baada ya kiapo.
3. Kuna kijana alifariki mara baada ya kupokea hundi ya bilioni 3 alizoshinda ktk mchezo wa kubahatisha.
4. Kuna mcheza mpira wa miguu alifariki akishangilia goli la ushindi.
 
Kifo kina ratiba zake, tofauti kabisa na ratiba ya mwanadamu.

1. Kuna bibi harusi alifariki baada ya kutoka kanisani akiwa njiani kwenda ukumbini.
2. Kuna mbunge alifariki mara baada ya kiapo.
3. Kuna kijana alifariki mara baada ya kupokea hundi ya bilioni 3 alizoshinda ktk mchezo wa kubahatisha.
4. Kuna mcheza mpira wa miguu alifariki akishangilia goli la ushindi.
Mwaka 1985 kuna mtu anaitwa Tancredo Neves alichaguliwa kuwa rais wa Brazil, lakini akafa kabla ya kuapishwa.
 
Hawa wanauwana siyo bure!
Faida zote hizo serikali imeshindwa kumlinda? Kumbe inaweza Nini sasa!
Acheni hizo. Jamaa alikuwa mgonjwa toka kitambo. Hata Jiwe hakumpa uwazir tena kwasababu ya afya mara kwa mara India checkup. Kwa kifo cha huyu jamaa no foul play.
 
Mwaka 1985 kuna mtu anaitwa Tancredo Neves alichaguliwa kuwa rais wa Brazil, lakini akafa kabla ya kuapishwa.
Asante ,kwa kumbukumbu kama hii. Kwahiyo, Ndungulile siyo wa kwanza, bali ni Shani yake Maulana.
 
Active huu uzi umekuwa duplicated na accounts tofauti , Yan ni copying and paste
Fanyeni linked list
 
Back
Top Bottom