Waachane na hizi hospitali za chini ya kiwango, watibiwe hapa hapa Mloganzila, Amana, temeke nk.
Serikali ipige marufuku kwa viongozi kwenda kutibiwa nje ilihali Serikali imefanya juhudu kubwa kuziboresha hospitali za ndani kama pale Ligula Mtwara, Meta Mbeya, Amana, nk kiasi cha kufikia 1st class.
Hizi hospitali zetu ni Bora kabisa kuliko hata zile za USA.