Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Asante sanaOk..poleni Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaOk..poleni Sana
Asante sana njoo utufariji Msasani jirani na ubalozi w USA 🇺🇸Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
Niko home, najiandaa kwenda msibaniBujibuji Simba Nyamaume una habari? Au tayari uko Iringa?
Kwa hyo hauji tena iringa ili nimjulishe kabisa sultan chana mkuu? Maana mnasubiliwa hukuNajikuta tu natòwa machozi, hii post naosoma na kuisoma tena, my car is standby, nilipanga saa saba nianze safari ya kuelekea Iringa kwenye rally.
Ehhh Mungu umetuficha mauti, why?
Asante sana njoo utufariji Msasani jirani na ubalozi w USA 🇺🇸
Hadi leo wanalima mchichaHapo kwenye flats mbele zamani walikuwa wanalima mchicha? Opposite na Obay police?
Msiba mkubwa sana huu
Busara itumike game ihairishwe. Naamini linawezekana maana mkirazimisha marehemu atawalalia vibaya mkavunje miti ya serikali hko Sao hillMsiba mkubwa sana huu
Hadi leo wanalima mchicha
Usiache kuni PM ukifikaOk nitakaribia Mkuu Poleni sana.
Usiache kuni PM ukifika
TrueBusara itumike game ihairishwe. Naamini linawezekana maana mkirazimisha marehemu atawalalia vibaya mkavunje miti ya serikali hko Sao hill
Huu msiba nliambiwa juu juu na mzee TylorAsante sana. Ni siku chache tu katoka kufiwa na mams yake mzazi.
Pole sana kwa family ya Mama King wa Msasani Fłats
Samahani kaka, ndio tunaweka mambo sawa hapa home, nilisahau simu nyumbani nilikurupuka tu, nawapigia sasa hiviJemima Mrembo please pokea simu, unapigiwa na Waziri na naibu wake muda mrefu
GoodSamahani kaka, ndio tunaweka mambo sawa hapa home, nilisahau simu nyumbani nilikurupuka tu, nawapigia sasa hivi
Nazjaz akitulia atakujibuPressure alikuwa nayo tangia zamani au kwasababu ya Kukata mti kwao according to Naz?