TANZIA Buriani Mohammed Rafiq, mmoja wa Waasisi wa timu ya Saigon, Kariakoo

TANZIA Buriani Mohammed Rafiq, mmoja wa Waasisi wa timu ya Saigon, Kariakoo

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
KOKNI MUSLIM JAMAAT of DAR ES SALAAM, TANZANIA

DEATH ANNOUNCEMENT

‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return".

It is with sadness that we share the news of the demise of MR MOHAMEDRAFIQ ZAHIR FAKI who passed away in Dar Es Salaam on 9th SEPTEMBER 2024, MONDAY

Marhum was the Husband of Mumtaz Mula.

Marhum was the Father of Zarin,Tariq,Shahbaaz and Simeen Faki.
Marhum will be burried on :
Date : 9th SEPTEMBER 2024
Time : After Zohr Prayers (1pm)
JANAZA NAMAZ : KITUMBINI MOSQUE
BURIAL : KMJ GRAVEYARD,KIJITONYAMA.

May Allah (SWT) bless the departed soul with a place amongst His chosen ones and grant the family patience to bear this loss - Ameen.

Kabrastan Committee

BURIANI MWANA- SAIGON ASILI RAFIQ
1726071992373.jpeg

1726072106179.jpeg


=====

Tangazo hapo juu ni la kifo cha Rafiq kijana wa Kihindi tuliyekuwa tukichezanae mpira Everton hadi Saigon udogoni katika miaka ya 1966 na tukawanae Saigon 1967.

Wazee wake ndiyo waliokuwa wakiendesha Khalid Restaurant kwa miaka mingi sana sisi tunazaliwa tumeikuta hapo Uhindini pembeni mwa mshonaji bingwa wa nguo wa enzi zetu Louis.

Wazee wake walihusika na Msikiti wa Kitumbini na Rafiq alikuwa akisali hapo sala zake zote.

Everton/Saigon nathubutu kusema ndiyo club pekee Kariakoo katika kumbukumbu yangu ambayo kulikuwa na vijana wachezaji mpira wa Kihindi - Rafiq na Bulji.

Bulji aliondoka Dar-es-Salaam na kuhamia Mtwara na akacheza Taifa Cup timu ya Mtwara akiwa mshambuliaji.

Wengi tunamkubuka Bulji kwa kile kipaji chake cha mpira.

Wale waliokuwa Saigon miaka ya mwanzoni watamkumbuka Rafiq kwa mkono wake wa kutoa.

Siku zote Rafiq tukiwa na michango ya club ya kununua mipira au jezi mchango wake ulikuwa mkubwa.

Rafiq alikuwa mtu wangu ukubwani tukionana na kusalimiana tukikutana hapo hotelini kwao au msikitini Kitumbini.

Lakini wengi waliokuwa wakimfahamu Rafiq walisikitishwa na hali iliyomtokea ghafla akawa mtu mkimya na hazungumzi na yeyote na hata ukimsalimia kwa bashasha atakuitikia na kukupita kama vile hamkupata kujuana na kucheza pamoja utotoni.

Hii ilikuwa awe pale hotelini au msikitini.
Wengi tukatambua ndugu yetu kapata maradhi.

Muda wote alijitenga akiwa amekaa pembeni peke yake kimya na muda wote ana tasbihi mkononi.

Mimi iliponidhihirikia hali ile yake ikawa tukikutana nampungia na yeye atanipungia na tunapishana kimya.

Wengi waliokuwa wanamfahamu Rafiq walikuwa wakifanya hivyo.
Hii ilitutosha.

Allah amfanyie wepesi ndugu yetu.
 
KOKNI MUSLIM JAMAAT of DAR ES SALAAM, TANZANIA

DEATH ANNOUNCEMENT

‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return".

It is with sadness that we share the news of the demise of MR MOHAMEDRAFIQ ZAHIR FAKI who passed away in Dar Es Salaam on 9th SEPTEMBER 2024, MONDAY

Marhum was the Husband of Mumtaz Mula.

Marhum was the Father of Zarin,Tariq,Shahbaaz and Simeen Faki.
Marhum will be burried on :
Date : 9th SEPTEMBER 2024
Time : After Zohr Prayers (1pm)
JANAZA NAMAZ : KITUMBINI MOSQUE
BURIAL : KMJ GRAVEYARD,KIJITONYAMA.

May Allah (SWT) bless the departed soul with a place amongst His chosen ones and grant the family patience to bear this loss - Ameen.

Kabrastan Committee

BURIANI MWANA- SAIGON ASILI RAFIQ

Tangazo hapo juu ni la kifo cha Rafiq kijana wa Kihindi tuliyekuwa tukichezanae mpira Everton hadi Saigon udogoni katika miaka ya 1966 na tukawanae Saigon 1967.

Wazee wake ndiyo waliokuwa wakiendesha Khalid Restaurant kwa miaka mingi sana sisi tunazaliwa tumeikuta hapo Uhindini pembeni mwa mshonaji bingwa wa nguo wa enzi zetu Louis.

Wazee wake walihusika na Msikiti wa Kitumbini na Rafiq alikuwa akisali hapo sala zake zote.

Everton/Saigon nathubutu kusema ndiyo club pekee Kariakoo katika kumbukumbu yangu ambayo kulikuwa na vijana wachezaji mpira wa Kihindi - Rafiq na Bulji.

Bulji aliondoka Dar-es-Salaam na kuhamia Mtwara na akacheza Taifa Cup timu ya Mtwara akiwa mshambuliaji.

Wengi tunamkubuka Bulji kwa kile kipaji chake cha mpira.

Wale waliokuwa Saigon miaka ya mwanzoni watamkumbuka Rafiq kwa mkono wake wa kutoa.

Siku zote Rafiq tukiwa na michango ya club ya kununua mipira au jezi mchango wake ulikuwa mkubwa.

Rafiq alikuwa mtu wangu ukubwani tukionana na kusalimiana tukikutana hapo hotelini kwao au msikitini Kitumbini.

Lakini wengi waliokuwa wakimfahamu Rafiq walisikitishwa na hali iliyomtokea ghafla akawa mtu mkimya na hazungumzi na yeyote na hata ukimsalimia kwa bashasha atakuitikia na kukupita kama vile hamkupata kujuana na kucheza pamoja utotoni.

Hii ilikuwa awe pale hotelini au msikitini.
Wengi tukatambua ndugu yetu kapata maradhi.

Muda wote alijitenga akiwa amekaa pembeni peke yake kimya na muda wote ana tasbihi mkononi.

Mimi iliponidhihirikia hali ile yake ikawa tukikutana nampungia na yeye atanipungia na tunapishana kimya.

Wengi waliokuwa wanamfahamu Rafiq walikuwa wakifanya hivyo.
Hii ilitutosha.

Allah amfanyie wepesi ndugu yetu.
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun
 
KOKNI MUSLIM JAMAAT of DAR ES SALAAM, TANZANIA

DEATH ANNOUNCEMENT

‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return".

It is with sadness that we share the news of the demise of MR MOHAMEDRAFIQ ZAHIR FAKI who passed away in Dar Es Salaam on 9th SEPTEMBER 2024, MONDAY

Marhum was the Husband of Mumtaz Mula.

Marhum was the Father of Zarin,Tariq,Shahbaaz and Simeen Faki.
Marhum will be burried on :
Date : 9th SEPTEMBER 2024
Time : After Zohr Prayers (1pm)
JANAZA NAMAZ : KITUMBINI MOSQUE
BURIAL : KMJ GRAVEYARD,KIJITONYAMA.

May Allah (SWT) bless the departed soul with a place amongst His chosen ones and grant the family patience to bear this loss - Ameen.

Kabrastan Committee

BURIANI MWANA- SAIGON ASILI RAFIQ

Tangazo hapo juu ni la kifo cha Rafiq kijana wa Kihindi tuliyekuwa tukichezanae mpira Everton hadi Saigon udogoni katika miaka ya 1966 na tukawanae Saigon 1967.

Wazee wake ndiyo waliokuwa wakiendesha Khalid Restaurant kwa miaka mingi sana sisi tunazaliwa tumeikuta hapo Uhindini pembeni mwa mshonaji bingwa wa nguo wa enzi zetu Louis.

Wazee wake walihusika na Msikiti wa Kitumbini na Rafiq alikuwa akisali hapo sala zake zote.

Everton/Saigon nathubutu kusema ndiyo club pekee Kariakoo katika kumbukumbu yangu ambayo kulikuwa na vijana wachezaji mpira wa Kihindi - Rafiq na Bulji.

Bulji aliondoka Dar-es-Salaam na kuhamia Mtwara na akacheza Taifa Cup timu ya Mtwara akiwa mshambuliaji.

Wengi tunamkubuka Bulji kwa kile kipaji chake cha mpira.

Wale waliokuwa Saigon miaka ya mwanzoni watamkumbuka Rafiq kwa mkono wake wa kutoa.

Siku zote Rafiq tukiwa na michango ya club ya kununua mipira au jezi mchango wake ulikuwa mkubwa.

Rafiq alikuwa mtu wangu ukubwani tukionana na kusalimiana tukikutana hapo hotelini kwao au msikitini Kitumbini.

Lakini wengi waliokuwa wakimfahamu Rafiq walisikitishwa na hali iliyomtokea ghafla akawa mtu mkimya na hazungumzi na yeyote na hata ukimsalimia kwa bashasha atakuitikia na kukupita kama vile hamkupata kujuana na kucheza pamoja utotoni.

Hii ilikuwa awe pale hotelini au msikitini.
Wengi tukatambua ndugu yetu kapata maradhi.

Muda wote alijitenga akiwa amekaa pembeni peke yake kimya na muda wote ana tasbihi mkononi.

Mimi iliponidhihirikia hali ile yake ikawa tukikutana nampungia na yeye atanipungia na tunapishana kimya.

Wengi waliokuwa wanamfahamu Rafiq walikuwa wakifanya hivyo.
Hii ilitutosha.

Allah amfanyie wepesi ndugu yetu.
Story za miaka ya 1962...Duu
Alale mahali pema peponi.
 
KOKNI MUSLIM JAMAAT of DAR ES SALAAM, TANZANIA

DEATH ANNOUNCEMENT

‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return".

It is with sadness that we share the news of the demise of MR MOHAMEDRAFIQ ZAHIR FAKI who passed away in Dar Es Salaam on 9th SEPTEMBER 2024, MONDAY

Marhum was the Husband of Mumtaz Mula.

Marhum was the Father of Zarin,Tariq,Shahbaaz and Simeen Faki.
Marhum will be burried on :
Date : 9th SEPTEMBER 2024
Time : After Zohr Prayers (1pm)
JANAZA NAMAZ : KITUMBINI MOSQUE
BURIAL : KMJ GRAVEYARD,KIJITONYAMA.

May Allah (SWT) bless the departed soul with a place amongst His chosen ones and grant the family patience to bear this loss - Ameen.

Kabrastan Committee

BURIANI MWANA- SAIGON ASILI RAFIQ

Tangazo hapo juu ni la kifo cha Rafiq kijana wa Kihindi tuliyekuwa tukichezanae mpira Everton hadi Saigon udogoni katika miaka ya 1966 na tukawanae Saigon 1967.

Wazee wake ndiyo waliokuwa wakiendesha Khalid Restaurant kwa miaka mingi sana sisi tunazaliwa tumeikuta hapo Uhindini pembeni mwa mshonaji bingwa wa nguo wa enzi zetu Louis.

Wazee wake walihusika na Msikiti wa Kitumbini na Rafiq alikuwa akisali hapo sala zake zote.

Everton/Saigon nathubutu kusema ndiyo club pekee Kariakoo katika kumbukumbu yangu ambayo kulikuwa na vijana wachezaji mpira wa Kihindi - Rafiq na Bulji.

Bulji aliondoka Dar-es-Salaam na kuhamia Mtwara na akacheza Taifa Cup timu ya Mtwara akiwa mshambuliaji.

Wengi tunamkubuka Bulji kwa kile kipaji chake cha mpira.

Wale waliokuwa Saigon miaka ya mwanzoni watamkumbuka Rafiq kwa mkono wake wa kutoa.

Siku zote Rafiq tukiwa na michango ya club ya kununua mipira au jezi mchango wake ulikuwa mkubwa.

Rafiq alikuwa mtu wangu ukubwani tukionana na kusalimiana tukikutana hapo hotelini kwao au msikitini Kitumbini.

Lakini wengi waliokuwa wakimfahamu Rafiq walisikitishwa na hali iliyomtokea ghafla akawa mtu mkimya na hazungumzi na yeyote na hata ukimsalimia kwa bashasha atakuitikia na kukupita kama vile hamkupata kujuana na kucheza pamoja utotoni.

Hii ilikuwa awe pale hotelini au msikitini.
Wengi tukatambua ndugu yetu kapata maradhi.

Muda wote alijitenga akiwa amekaa pembeni peke yake kimya na muda wote ana tasbihi mkononi.

Mimi iliponidhihirikia hali ile yake ikawa tukikutana nampungia na yeye atanipungia na tunapishana kimya.

Wengi waliokuwa wanamfahamu Rafiq walikuwa wakifanya hivyo.
Hii ilitutosha.

Allah amfanyie wepesi ndugu yetu.
Hili jina la Saigoni nimelisikia mwaka 2021. Kwamba kundi hilo ndio determinat wa nani anakuwa Rais nani hatakuwa.

Kwamba ni Kundi la wazee wa Kariakoo wale wanaoitwa Wazee Wa Dar Es Salaam wako humo.

Mohamed Said kuna ukweli gani juu ya hili?
 
Mungu Mwenyezi aipokee roho ya marehemu ampe pumziko jema.
 
Inna lillah wa inna illah raj'un (sijui ndio hivyo?)
Ila mzee Said mbona umeweka picha ya ujana? Pili mbona kama kuna stori kubwa tu nyuma ya hali yake? Kwa mwanahistoria wewe hushindwi kuchimba kujua sababu ya mwanasaigon huyo kuwa na upweke huo
 
Mwenyezi Mungu awafariji wote walioguswa na Msiba huu

Tunatamani sana kuifahamu historia ya SAIGON na influence yake kwa Dsm
 
Inna lillah wa inna illah raj'un (sijui ndio hivyo?)
Ila mzee Said mbona umeweka picha ya ujana? Pili mbona kama kuna stori kubwa tu nyuma ya hali yake? Kwa mwanahistoria wewe hushindwi kuchimba kujua sababu ya mwanasaigon huyo kuwa na upweke huo
Raia...
Inatosha ukajua nduguyo mgonjwa.
Hayo mengine si lazima ila kwa wale nduguze wa damu.
 
Back
Top Bottom