Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Sio scam jombaa, mpigie huyo msanii mwenzao umuulize na hiyo namba kaisajili kwa jina lake halisi. Siwezi kuleta mambo ya kipuuzi humu, nawaheshimu sana.Tafuta namba sahihi ya wahusika hii ni scam watu wataibiwa na hela haitowafikia walengwa wanaondesha msimba
Rip
Kwa iyo Adam juma ndo katoa buku Tano...TANGAZO...
Habari za muda huu, mwanamuziki mwenzetu H-MBIZO amefariki dunia
Hivyo basi kama ulivyo utamaduni wetu kushirikiana kwenye shida na raha nakaribisha michango kwa namba ya Airtel money 0692 421907 Jina litatokea Hamadi Seleman ( HamaGuy )
HATA KIDOGO KITAWAFUTA MACHOZI WAZAZI WAKE
1.Adam juma 10,000/=
2.Mr Tz 20,000/=
3.Ebreezy ( Ibra Max ) 20,0000
4.Matonya 5,000/=
5.Sam Mapesa 5,000/=
6.Banana Zorro 10,000/=
7.Jhiko man 10,000/=
8.
9.
10.
Mkuu ushaona fursa 😂TANGAZO...
Habari za muda huu, mwanamuziki mwenzetu H-MBIZO amefariki dunia
Hivyo basi kama ulivyo utamaduni wetu kushirikiana kwenye shida na raha nakaribisha michango kwa namba ya Airtel money 0692 421907 Jina litatokea Hamadi Seleman ( HamaGuy )
HATA KIDOGO KITAWAFUTA MACHOZI WAZAZI WAKE
1.Adam juma 10,000/=
2.Mr Tz 20,000/=
3.Ebreezy ( Ibra Max ) 20,0000
4.Matonya 5,000/=
5.Sam Mapesa 5,000/=
6.Banana Zorro 10,000/=
7.Jhiko man 10,000/=
8.
9.
10.
Michango ya maceleb wetu mbona haiendani na hadhi zao, wapi Steve Nyerere?TANGAZO...
Habari za muda huu, mwanamuziki mwenzetu H-MBIZO amefariki dunia
Hivyo basi kama ulivyo utamaduni wetu kushirikiana kwenye shida na raha nakaribisha michango kwa namba ya Airtel money 0692 421907 Jina litatokea Hamadi Seleman ( HamaGuy )
HATA KIDOGO KITAWAFUTA MACHOZI WAZAZI WAKE
1.Adam juma 10,000/=
2.Mr Tz 20,000/=
3.Ebreezy ( Ibra Max ) 20,0000
4.Matonya 5,000/=
5.Sam Mapesa 5,000/=
6.Banana Zorro 10,000/=
7.Jhiko man 10,000/=
8.
9.
10.
Kausha bana🤣Michango ya maceleb wetu mbona haiendani na hadhi zao, wapi Steve Nyerere?
Steve Nyerere akikusanya michango haifikiMichango ya maceleb wetu mbona haiendani na hadhi zao, wapi Steve Nyerere?