Albendazole
Member
- Jul 21, 2021
- 34
- 68
Pumzika kwa amani mwalimu mavunde,
Vp kuhusu taratibu za mazishi???
Vp kuhusu taratibu za mazishi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hawajuani,anamskia tu kama wewe na Mimi.R.I.P Mavunde,
Ndhani atakuwa ndugu yake na ANTHONY MAVUNDE
Hujui kazi maalum kwa upande wa walimu ni nini.Kajifunze hiyo kwanza halafu ndo uje utoe maoni yako.Hakuwa kazi maalum,Ila alionekana kama kazi maalum kwa kuwa alikuwa anapeleka taarifa Kama zikiwepo.Kazi maalum ni ajira kamili ya serikali.
Hujaelewi kazi maalum kwa muktadha wa ualimu.Alitumika vibaya na alitumia muda wake vibaya. RIP Mavunde
Wanataka kusafirisha lakini michango inasuasua.Kama vipi tia mkono wako na wewe.Msiba uko Kiluvya kwa Komba,ulizia kwa mama Nangumwe jirani na shule ya msingi Kiluvya.Pumzika kwa amani mwalimu mavunde,
Vp kuhusu taratibu za mazishi???
Info...Hakuwa kazi maalum,Ila alionekana kama kazi maalum kwa kuwa alikuwa anapeleka taarifa Kama zikiwepo.Kazi maalum ni ajira kamili ya serikali.
Ndio maana akafundisha JITEGEMEEINFORMER WA KUJITEGEMEA!
Mbona watu wa humu siyo waelewa? Hakuwa informer na Wala hakuwa na issue hizo.Alifanya kazi maalum kwa muktadha wa kazi ya ualimu.Mna nini lakini?
Kazi za Baraza la mitihani mfano kusahihisha mitihani ya necta.Ndio ipoje hiyo kazi maalum ya ualimu?
R.I.P Mavunde,
Ndhani atakuwa ndugu yake na ANTHONY MAVUNDE
kama ni hivyo mbona walimtelekeza huko kibaha akiishi katika miserable life?
R I P MwalimuKwa wale waliomaliza Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam mwaka 2004 hasa kitivo cha elimu mlisoma naye. Waliomaliza Jitegemee sekondari kuanzia 2001 mtakuwa mnamfahamu.
Wale wa kazi maalum mtakuwa mnamfahamu fika pia. Jamaa alipata changamoto za kiafya na hatimaye usiku wa tarehe 3/9/2022 ikawa ndiyo mwisho wa maisha yake hapa duniani.
Mavunde alitoa mchango wake katika kulitumikia taifa akiwa mwalimu wa somo la historia. Naomba Mwenyezi Mungu amsamehe makosa yake na amuweke pale anapostahili.
Kwa heri rafiki.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kwa niaba ya class ya mwaka flani tumepokea pole zenu 😢 😔Pole yao sana wafiwa wote...