Buriani Salum Zahoro

Kichuguu,
Sijui kwa nini unataabishwa na lugha yangu.

Hiyo BAKITA iangalie kama ina Waswahili wenyewe.

Mimi ni Mswahili na sijapata kuzungumza lugha nyingine toka nizaliwe ila Kiswahili.

Hiyo BAKITA ndiyo hawa wa "mapungufu" na "masaa."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…