vickboy.com
Member
- Jul 29, 2013
- 85
- 23
Kifungwe tu!
vyuo vyenu hivyo vya kata vinatuaibisha nchi yetu,karibu UDSM tunakomaa na kitabu afu mambo mengine yanaendelea vizuri sana
cha ajabu sasa kawambwa alikuwa mgeni rasmi kweny mahafar yaliyofanyika mwez wa 9 mwaka jana matatizo yote hayo inamaana hakuyaona! kweli hawa ndo viongoz mzigo! chuo tunafinywa, makwez, matus, kuitwa majina kama primary, wanawake marufuku kuzaa wakiwa masomoni jamani hata tuseme watanzania wamezid kulalamika this is too much!!!
Hahahahahah