Buriani Zackaria Hanspope

 
Hiyo mahujiano ya efm aliyafanya akiwa hospitali ama kabla hajaenda hospitali? Unajua alichanja lini? Huna akili kabisa.
Yaani wa bongo mmeleta ushabiki wa mpira na wasiasa kwenye chanjo. Chanjo ni suala la kisayansi. Huwezi okotezaokoteza points huku na huko.

Lakini mmeligeuza kuwa ushabiki waliochanja dhidi ya wasiochanja. Ni ujinga mkubwa sana.
 
Hiyo mahujiano ya efm aliyafanya akiwa hospitali ama kabla hajaenda hospitali? Unajua alichanja lini? Huna akili kabisa.
Kwenye mahojiano hakuna sehemu Hans kazungumzia kuchanjwa au kutochanjwa. Rudi kasikilize tena unajiabisha tu hapa
 
Kwenye mahojiano hakuna sehemu Hans kazungumzia kuchanjwa au kutochanjwa. Rudi kasikilize tena unajiabisha tu hapa
Kwani baada ya mahojiano mtu hawezi kuchanjwa? Kwani chanjo inahitaji maandalizi ya mwaka, si masaa tu? Unashindwa kuelewa nini hapo mkuu.
 
Wakati uviko umeniweka kitandani wiki 5 huyu mzee nae nikasikia anaumwa, hata siamini nimeponaje na huyu mzee ambaye alikuwa anapata huduma bora kuliko mimi ameenda, kiukweli delta imenitesa na hata siaminj nimeponaje, nimepita kwenye bonde la utuli wa mauti.
 
Yaani wa bongo mmeleta ushabiki wa mpira na wasiasa kwenye chanjo. Chanjo ni suala la kisayansi. Huwezi okotezaokoteza points huku na huko.

Lakini mmeligeuza kuwa ushabiki waliochanja dhidi ya wasiochanja. Ni ujinga mkubwa sana.
Kwenye maandishi yangu kuna mahala nimezungumzia mpira ama kuweka ushabiki wa mpira?

Wewe aliekwmabia mimi nashabikia mpira ni nani? Ama umekua mke wangu na msemaji wangu ambae ananijua vizuri?
 
Kwani baada ya mahojiano mtu hawezi kuchanjwa? Kwani chanjo inahitaji maandalizi ya mwaka, si masaa tu? Unashindwa kuelewa nini hapo mkuu.
Kwahiyo unakubali kwamba kwenye mahojiano hakuna sehemu Hans kasema alishachanja kama uzi wako unavyodai?
 
Naomba kuuliza mkuu hivi huyu Hans pop ndiye Yule anayetajwa kwenye kesi ya uhaini ya mwaka 1982?
 
Au mbona inafikia hatua hadi watu wanapasuliwa lakini bado wanakufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…