Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Ofcourse hauwezi, but wanachofanya ni kuwafanya kuogopa na iwe ngumu. Knowing watakao attempt, they wont be spared. Wafanye in their own riskWizi hauwezi kuisha maadam mnaojifanya masikini na kupokea hela za misaada basi mtakuwa majizi tu maana hamuoni uchungu nazo
Huyu dogo anajitahidi kwa nchi yake na anaona hiyo ndio njia nzuri ya kuzuia wizi
Maana ukiiba unawekwa live