Burna Boy: Mama yangu anachukia sana ninapomwambia kuwa sitaoa kamwe

Burna Boy: Mama yangu anachukia sana ninapomwambia kuwa sitaoa kamwe

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262

BURNA BOY AKANUSHA NDOA:​

SUPASTAA wa muziki barani Africa kutoka pande za Nigeria Damini, Ebunoluwa Ogulu maarufu kama Burna Boy amefunguka kuwa mama yake hukasirika sana pale ambapo anamwambia kuwa hatokuja kuoa.

Kupitia insta story yake Burna ameshare ujumbe unaosema; “Mama yangu anachukia sana ninapomwambia kuwa sitaoa kamwe…anabadilika kuwa mwekundu…”

Kwa hili #BurnaBoy anaingia kwenye orodha ya mastaa wa kubwa wa muziki Africa ambao bado hawajafunga ndoa na wapenzi wao. Kwa sasa Burna yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake wa muda mrefu Stefflon Don.

images - 2021-10-30T084109.765.jpeg

 
Back
Top Bottom