Burna boy msanii wa juzi acha kushonlbokea wanaongea kiingereza ujitambuiuchawa ni tatizo kubwa sana
Kwahiyo burna kwa diamond ni mtoto tu?
Konde boi they call me number wani, too muchi manii in the banki maniiHe gonna bust his mendula
Kuvaa mabati mengi shingoni, kula bange kwa sana ndio anavyomzidi RayvanMimi sitalewea chochote mpaka pale ambapo huyo dogo ataonyesha kimziki chochote (hâta kimoja tu) huyo aliyekuwa anamnyonya, vinginevyo ntawaona kama wafa maji tu ambao hamuishi kutapatapa.
Mwaka wa tatu huu tangu atoke kwenye mikono ya wanyonyaji sioni la maana.Tukiachana na swala la yéyé kushindanishwa na Naseeb, sidhani kuna mtu yoyote aneweza kuweka wazi ni kipi ambacho harmo anamzidi Vanny mpaka sasa.
Kuvaa mabati mengi shingoni,kula bange kwa sana ndio anavyomzidi rayvan
Harmonize anasema mama yake anaishi maisha magumu
Ina maana maisha anayoishi yeye harmonize NI maigizo?
Kwanini asimsaidie mama yake Kama ana uwezo
Amesema mwenyewe mama yake anaishi maisha magumusoma kwenye mistari mzee,anakwambia 500mln ingemfaa zaidi mama yake maana hakuna cha maana alichorudisha,japo kampa nyumba na gari.