Mihadarati anachomzidi konde ni idadi kubwa ya Malaya anaotombsa Basi.Kwa hizi akili, ukisikia harmonize basi unajua ana hela kuliko raia wote wasio waimba mziki? (Hata kama sio mimi) unataka kusema kwamba Tz hii kama sio MO au Bhakharesa basi hakuna anaewafika hao?😅
Sasa hapo kulikuwa na ulazima gani wa kumlinganisha na mimi?? Mlingamishe na Nassib tuone kama anamfika hâta kwa chochote.
Ukorofi kama WA mama Tarik😂😂Dhambi ya ubinafsi na tamaa haifichiki Kama moshi wa kuni
Kuna siku tu yale yote ya sirini yatakuwa hadharani
Diamond ni msanii mkubwa Afrika kila mtu analijua hilo na nyuma ya mafanikio yake kuna team kubwa ya watu inayoyawezesha hayo mafanikio yake
Cha ajabu chibu ni msanii wa kizazi kipya lakini ana mambo ya kizamani sana
Unaimiliki team Kama mfalme na vijakazi wake
Kufanikiwa ufanikiwe wewe tamaa na wivu uwaonee wenzio duu unawatumikisha wenzio utadhani ni watoto zako
Wanavaa zinc sulfate[emoji16][emoji16]mabati hata mond anavaa.
Mheshimiwa Pius Msekwa aliwahi kusema Kuna watu/wanasiasa wa kiume wenye WIVU WA KIKE.This is... ni Anjella?
Kama umeandika hivi kwa dhumuni la kukebehi yai la konde, Basi we ndo boya kabisa hujui kidhungu. Hayo uliyoandika hapo ktk matamshi hayana shida kabisa, unless wimbo wake kaimba kwa maandishi ntakuona upo sahihi.Konde boi they call me number wani, too muchi manii in the banki manii
Too much money in the bank money ndo nini?? Au ndo mmefundishwa hivyo huko tandahimbaKama umeandika hivi kwa dhumuni la kukebehi yai la konde, Basi we ndo boya kabisa hujui kidhungu. Hayo uliyoandika hapo ktk matamshi hayana shida kabisa, unless wimbo wake kaimba kwa maandishi ntakuona upo sahihi.