Burnaboy kaposti picha ya Harmonize

Mihadarati anachomzidi konde ni idadi kubwa ya Malaya anaotombsa Basi.
 
Ukorofi kama WA mama Tarik😂😂
 
Mheshimiwa Pius Msekwa aliwahi kusema Kuna watu/wanasiasa wa kiume wenye WIVU WA KIKE.

Sasa mkuu tuwe wakweli uko zako huko sijui wapi madongo kuinama . Daimond au Harmo hawakujui huwajui , hujawai kukutana nae ppte, hakusaidii chchte ktk maisha yako halafu unasema NAMCHUKIA DIAMOND AU HARMONIZE. Kwa lipi?

Ukisikia wanagombana soma tu km burudani wao ndiyo wanajuana. Wewe pambana kulima matembele yako, huku umeweka earphone masikion unaburudika kwa mziki mtamu wa Angela au Dai au ZUCHU au Harmonize.

Ni Sawa na kuniita Anjela haisaidii kitu. Mm nikikuita zuchu au bi kidude Ina impact gani kwangu.

Mziki mzuri hoyeeeeeee
 
Konde boi they call me number wani, too muchi manii in the banki manii
Kama umeandika hivi kwa dhumuni la kukebehi yai la konde, Basi we ndo boya kabisa hujui kidhungu. Hayo uliyoandika hapo ktk matamshi hayana shida kabisa, unless wimbo wake kaimba kwa maandishi ntakuona upo sahihi.
 
Kama umeandika hivi kwa dhumuni la kukebehi yai la konde, Basi we ndo boya kabisa hujui kidhungu. Hayo uliyoandika hapo ktk matamshi hayana shida kabisa, unless wimbo wake kaimba kwa maandishi ntakuona upo sahihi.
Too much money in the bank money ndo nini?? Au ndo mmefundishwa hivyo huko tandahimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…