#COVID19 Burundi imeridhia kupokea chanjo ya Covid 19 lakini Serikali haitawahamasisha watu kupata chanjo hiyo

#COVID19 Burundi imeridhia kupokea chanjo ya Covid 19 lakini Serikali haitawahamasisha watu kupata chanjo hiyo

Mbona wanaoelimisha watu kukataa chanjo wanapigwa vita wakati ilipaswa wenye kuelimisha umuhimu wa chanjo na wenye kuelimisha madhara ya chanjo wapewe fursa sawa ili Raia wafanye uamuzi baada ya kupata elimu ya pande zote mbili
Hakuna huo uhuru sana sana upande mmoja unaonekana unapotosha tu hata huko Youtube kuna video za wataalamu mbalimbali wakielezea madhaya ya chanjo na mambo mengi tusiyajua kuhusu hii issue ya corona ila Youtube wanafuta video zao.
 
Ndio maana UFARANSA chanjo ni lazima.....

Katikati ya VITA mnatoa Uhuru wa kuchagua la kufanya?!!

Anyways ,tungoje tuone huko mbele kama hiyari hii itaendelea.....

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
Suala la chanjo ni suala la kisayansi sasa kutumia nguvu kulazimisha watu kuchanjwa kwa sababu una nguvu wakati kuna mitizamo mengine tofauti ya kisayansi kuhusu chanjo sidhani kama ni sawa.
 
Mwanzo tuliambiwa ukichanja hupati corona, baadae watu wakawa wanapata Maambukizi tukaambiwa Unaweza kupata Corona lakin hautakuwa Mahututi

Ntajie chanjo nyingine yenye sifa hii ya kuchanja na bado unapata hayo maradhi ila unaambiwa hutokuwa mahututi

52% ya Waliolazwa kwa maradhi ya Corona nchini Uingereza ni wale waliokwisha chanja kwa takwimu za hivi karibuni

Sasa hii ni chanjo dhidi ya corona au dhidi ya umahututi wa Corona?
Na lawama wanapewa wasiochanja kwamba ndio wanaonekana kuwaambukiza hao waliyochanjwa.
 
Hiki kitendo cha hizi nchi za Afrika kufuatilia kwa undani effectiveness pamoja na efficiency ya hizi chanjo kuliko nchi za ulaya na Marekani ambako ndiko hizi chanjo zinatengenezwa kinachekesha sana😁😁😁
 
1.ARVs=HIV/AIDS....yaani ARVs ndizo zinazoua na si HIV
2.ARVs unapewa bure wewe mwananchi na serikali yako,lakini serikali inanunua....unajua inanunua tshs ngapi dosage ya mwezi kwa mtumiaji mmoja?....unajua kwa mwezi mmoja serikali inatumia tshs ngapi kulipia dosage ya watumiaji wa nchi nzima?

Serikali ikinunua inatosha,si lazima anunue mwananchi,kina Rockefeller wanachotaka ni account isome,haijalishi pesa imetoka kwa nani....na isitoshe kina Rockfeller hawafanyi biashara na makapuku,wanafanya biashara na serikali za dunia.

Unahitaji kuwa very smart kunielewa.
Umenitajia akina Rockfeller kuwa wanafanya biashara na SERIKALI ZA DUNIA NZIMA....Sasa Kuna serikali isiyo na raia?!!

Biashara yao itaendaje iwapo walaji wa mwisho hawatakuwepo baada ya "kuwahilikisha"?!!!

#TujitokezeniKuchanjwa
 
Umenitajia akina Rockfeller kuwa wanafanya biashara na SERIKALI ZA DUNIA NZIMA....Sasa Kuna serikali isiyo na raia?!!

Biashara yao itaendaje iwapo walaji wa mwisho hawatakuwepo baada ya "kuwahilikisha"?!!!

#TujitokezeniKuchanjwa
Una uhakika kama rais wako amedungwa kweli ile chanjo?...na kama hajadungwa,je, wewe unajua kwanini hakuruhusu chanjo ile iingie mwilini mwake halafu wewe ndio ushabikie kwenda kudungwa?

Nakupa homework ufuatilie hili utaelewa ninachosema taratibu.
 
Una uhakika kama rais wako amedungwa kweli ile chanjo?...na kama hajadungwa,je, wewe unajua kwanini hakuruhusu chanjo ile iingie mwilini mwake halafu wewe ndio ushabikie kwenda kudungwa?

Nakupa homework ufuatilie hili utaelewa ninachosema taratibu.
Kwanza umekubali kuwa "wazungu" hawa nia ya kutuua kama ulivyosema?
 
Ni sawa na jirani anayekuja kula kwako kila siku ila akiona juice anaogopa, anasema utakuwa umemwekea sumu.

Yaani watu hawaulizi dawa zote zilizovumbuliwa na kutengenezwa na kampuni za nchi za kigeni kama ni salama. Ila chanjo tu ya COVID-19. Tunakula ARV, dawa za malaria, tunapigwa chanjo za Hepatitis, Polio n.k huko kote hakuna shida ila Chanjo ya COVID-19.

Wengine wanasema wangeanza na chanjo ya UKIMWI, Off course ingependeza pia, lakini UKIMWI umesababisha KCMC watumie ya mitungi ya Oxygen 400 kwa siku? Halafu wewe wategemea kula kwa jirani, kwanini umpangie cha kupika?
Mkuu hapa ninapo ishi hao waathirika wa ukimwi ni wengi kinoma, lakini hakuna hata mgonjwa mmoja wa Corona.
 
Duuh.....

Kwa hiyo wazungu hawataki mwafrika aishi si ndio eee?!!!

Mbona wanatuletea ARV's bure tunabugia na kutoka vitambi?!!

Hizo njugu zinatengenezwa Mwalusembe?!!

Kwa hiyo mzungu hamuihitaji mwafrika kama cheap labour ,kama mnunuzi wa biashara zake ?
Mkuu hizo ARVs wanakuletea bure?
Hapo ni biashara tu.
 
Mkuu hizo ARVs wanakuletea bure?
Hapo ni biashara tu.
Mkuu mzee wa migodini.....
Mzee wa Mtepweshi......
Mzee wa Cabo Del Gado....
Mzee wa Mocimboa Da Praia....
Arbaab wa Mweda......

Mkuu wangu ,Serikali yetu inanunua kwa bei ndogo kuliko zinavvyouzwa......

Ushirikiano wa dunia ni nipe nikupe.....mh.JK alisema ,UKITAKA KULA SHARTI............

Ebwana yule Chori Sakala uliyemtepetesha kwa PANGA alipona ?!!!

#NchiKwanza
#TukitokezeniKuchanjwa
#SiempreTanzania
#KaziIendelee
 
Hiki kitendo cha hizi nchi za Afrika kufuatilia kwa undani effectiveness pamoja na efficiency ya hizi chanjo kuliko nchi za ulaya na Marekani ambako ndiko hizi chanjo zinatengenezwa kinachekesha sana😁😁😁
Hata ukiangali hiyo corona kilichotokea huko Marekani na Ulaya ni tofauti na Afrika, hofu ya corona kwa afrika ni kutokana habari za corona tulizokuwa tunaziona huko America na ulaya. Wenzetu huko chanjo ndio hufanya warudi maisha yao ya kawaida wakati huku asilimia kubwa hatukuweka vizuizi vikubwa kutokana na corona hasa Tanzania tulisharudi maisha yetu ya kawaida toka kitambo hivyo hatuwezi kuwa na mitizamo sawa kuhusu chanjo.

La mwisho chanjo ni issue ya sayansi, tumechelewa kuzitumia hivyo tumepata nafasi nzuri ya kuzipima hizo zipi zenye ufanisi zaidi na zipi zina side effects gani.
 
Mkuu mzee wa migodini.....
Mzee wa Mtepweshi......
Mzee wa Cabo Del Gado....
Mzee wa Mocimboa Da Praia....
Arbaab wa Mweda......

Mkuu wangu ,Serikali yetu inanunua kwa bei ndogo kuliko zinavvyouzwa......

Ushirikiano wa dunia ni nipe nikupe.....mh.JK alisema ,UKITAKA KULA SHARTI............

Ebwana yule Chori Sakala uliyemtepetesha kwa PANGA alipona ?!!!

#NchiKwanza
#TukitokezeniKuchanjwa
#SiempreTanzania
#KaziIendelee
Mkuu me nakungoja wewe uchanje chanjo, me nitachanja mbuga tu.
Kipindi cha Mwenda zake mulimuunga mkono alipo sema tusiwe na haraka na chanjo zao (mabeberu) leo nashangaa mumemgeuka, nyinyi wa Tanzania ni wanafki wa kutupwa, na niwafata upepe unapo vuma.
 
Mkuu me nakungoja wewe uchanje chanjo, me nitachanja mbuga tu.
Kipindi cha Mwenda zake mulimuunga mkono alipo sema tusiwe na haraka na chanjo zao (mabeberu) leo nashangaa mumemgeuka, nyinyi wa Tanzania ni wanafki wa kutupwa, na niwafata upepe unapo vuma.
😲🤣🤣
Haya mkuu....

Huko Msumbiji chanjo hakuna?

Mzee wa Mocimboa nisalimie huko "mbugani"!!👍
 
Ni sawa na jirani anayekuja kula kwako kila siku ila akiona juice anaogopa, anasema utakuwa umemwekea sumu.

Yaani watu hawaulizi dawa zote zilizovumbuliwa na kutengenezwa na kampuni za nchi za kigeni kama ni salama. Ila chanjo tu ya COVID-19. Tunakula ARV, dawa za malaria, tunapigwa chanjo za Hepatitis, Polio n.k huko kote hakuna shida ila Chanjo ya COVID-19.

Wengine wanasema wangeanza na chanjo ya UKIMWI, Off course ingependeza pia, lakini UKIMWI umesababisha KCMC watumie ya mitungi ya Oxygen 400 kwa siku? Halafu wewe wategemea kula kwa jirani, kwanini umpangie cha kupika
We unaelewa sio kama hawa fatamkumbo tu.ata wazungu wakituua kwani mtu mweusi anatengeneza nini tofauti na kutengeneza watoto tu.
 
Bila shaka,ila nakuwekea vizuri zaidi sentensi yako...."wananchi wana haki ya kuelimishwa faida na HASARA za chanjo hii halafu wao wenyewe ndio wanachague"...

Pia haina haja ya kutumia watu maarufu kama wasanii nk kuhamasisha watu wachanje wakati tayari wameshapewa elimu kuhusu faida na hasara za chanjo,tuwaache wenyewe wachague,tusiwahamasishe.

Msitufanye sisi wajinga.

Hawawezi kutuelimisha kwa maana wao wanainadi hii chanjo kwa faida tu na wakituaminisha kuwa haina hasara zake.
 
S. A. P,
structural adjustment programme imepelekea pengine madikteta uchwara kuchangamka kubaniwa fursa ya mikopo na msada sijambo dogo
 
Mkuu mzee wa migodini.....
Mzee wa Mtepweshi......
Mzee wa Cabo Del Gado....
Mzee wa Mocimboa Da Praia....
Arbaab wa Mweda......

Mkuu wangu ,Serikali yetu inanunua kwa bei ndogo kuliko zinavvyouzwa......

Ushirikiano wa dunia ni nipe nikupe.....mh.JK alisema ,UKITAKA KULA SHARTI............

Ebwana yule Chori Sakala uliyemtepetesha kwa PANGA alipona ?!!!

#NchiKwanza
#TukitokezeniKuchanjwa
#SiempreTanzania
#KaziIendelee
Ona jinga hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom