#COVID19 Burundi imeridhia kupokea chanjo ya Covid 19 lakini Serikali haitawahamasisha watu kupata chanjo hiyo

Mbona wanaoelimisha watu kukataa chanjo wanapigwa vita wakati ilipaswa wenye kuelimisha umuhimu wa chanjo na wenye kuelimisha madhara ya chanjo wapewe fursa sawa ili Raia wafanye uamuzi baada ya kupata elimu ya pande zote mbili
Hakuna huo uhuru sana sana upande mmoja unaonekana unapotosha tu hata huko Youtube kuna video za wataalamu mbalimbali wakielezea madhaya ya chanjo na mambo mengi tusiyajua kuhusu hii issue ya corona ila Youtube wanafuta video zao.
 
Ndio maana UFARANSA chanjo ni lazima.....

Katikati ya VITA mnatoa Uhuru wa kuchagua la kufanya?!!

Anyways ,tungoje tuone huko mbele kama hiyari hii itaendelea.....

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
Suala la chanjo ni suala la kisayansi sasa kutumia nguvu kulazimisha watu kuchanjwa kwa sababu una nguvu wakati kuna mitizamo mengine tofauti ya kisayansi kuhusu chanjo sidhani kama ni sawa.
 
Na lawama wanapewa wasiochanja kwamba ndio wanaonekana kuwaambukiza hao waliyochanjwa.
 
Hiki kitendo cha hizi nchi za Afrika kufuatilia kwa undani effectiveness pamoja na efficiency ya hizi chanjo kuliko nchi za ulaya na Marekani ambako ndiko hizi chanjo zinatengenezwa kinachekesha sana😁😁😁
 
Umenitajia akina Rockfeller kuwa wanafanya biashara na SERIKALI ZA DUNIA NZIMA....Sasa Kuna serikali isiyo na raia?!!

Biashara yao itaendaje iwapo walaji wa mwisho hawatakuwepo baada ya "kuwahilikisha"?!!!

#TujitokezeniKuchanjwa
 
Umenitajia akina Rockfeller kuwa wanafanya biashara na SERIKALI ZA DUNIA NZIMA....Sasa Kuna serikali isiyo na raia?!!

Biashara yao itaendaje iwapo walaji wa mwisho hawatakuwepo baada ya "kuwahilikisha"?!!!

#TujitokezeniKuchanjwa
Una uhakika kama rais wako amedungwa kweli ile chanjo?...na kama hajadungwa,je, wewe unajua kwanini hakuruhusu chanjo ile iingie mwilini mwake halafu wewe ndio ushabikie kwenda kudungwa?

Nakupa homework ufuatilie hili utaelewa ninachosema taratibu.
 
Una uhakika kama rais wako amedungwa kweli ile chanjo?...na kama hajadungwa,je, wewe unajua kwanini hakuruhusu chanjo ile iingie mwilini mwake halafu wewe ndio ushabikie kwenda kudungwa?

Nakupa homework ufuatilie hili utaelewa ninachosema taratibu.
Kwanza umekubali kuwa "wazungu" hawa nia ya kutuua kama ulivyosema?
 
Mkuu hapa ninapo ishi hao waathirika wa ukimwi ni wengi kinoma, lakini hakuna hata mgonjwa mmoja wa Corona.
 
Mkuu hizo ARVs wanakuletea bure?
Hapo ni biashara tu.
 
Mkuu hizo ARVs wanakuletea bure?
Hapo ni biashara tu.
Mkuu mzee wa migodini.....
Mzee wa Mtepweshi......
Mzee wa Cabo Del Gado....
Mzee wa Mocimboa Da Praia....
Arbaab wa Mweda......

Mkuu wangu ,Serikali yetu inanunua kwa bei ndogo kuliko zinavvyouzwa......

Ushirikiano wa dunia ni nipe nikupe.....mh.JK alisema ,UKITAKA KULA SHARTI............

Ebwana yule Chori Sakala uliyemtepetesha kwa PANGA alipona ?!!!

#NchiKwanza
#TukitokezeniKuchanjwa
#SiempreTanzania
#KaziIendelee
 
Hiki kitendo cha hizi nchi za Afrika kufuatilia kwa undani effectiveness pamoja na efficiency ya hizi chanjo kuliko nchi za ulaya na Marekani ambako ndiko hizi chanjo zinatengenezwa kinachekesha sana😁😁😁
Hata ukiangali hiyo corona kilichotokea huko Marekani na Ulaya ni tofauti na Afrika, hofu ya corona kwa afrika ni kutokana habari za corona tulizokuwa tunaziona huko America na ulaya. Wenzetu huko chanjo ndio hufanya warudi maisha yao ya kawaida wakati huku asilimia kubwa hatukuweka vizuizi vikubwa kutokana na corona hasa Tanzania tulisharudi maisha yetu ya kawaida toka kitambo hivyo hatuwezi kuwa na mitizamo sawa kuhusu chanjo.

La mwisho chanjo ni issue ya sayansi, tumechelewa kuzitumia hivyo tumepata nafasi nzuri ya kuzipima hizo zipi zenye ufanisi zaidi na zipi zina side effects gani.
 
Mkuu me nakungoja wewe uchanje chanjo, me nitachanja mbuga tu.
Kipindi cha Mwenda zake mulimuunga mkono alipo sema tusiwe na haraka na chanjo zao (mabeberu) leo nashangaa mumemgeuka, nyinyi wa Tanzania ni wanafki wa kutupwa, na niwafata upepe unapo vuma.
 
😲🀣🀣
Haya mkuu....

Huko Msumbiji chanjo hakuna?

Mzee wa Mocimboa nisalimie huko "mbugani"!!πŸ‘
 
We unaelewa sio kama hawa fatamkumbo tu.ata wazungu wakituua kwani mtu mweusi anatengeneza nini tofauti na kutengeneza watoto tu.
 

Hawawezi kutuelimisha kwa maana wao wanainadi hii chanjo kwa faida tu na wakituaminisha kuwa haina hasara zake.
 
S. A. P,
structural adjustment programme imepelekea pengine madikteta uchwara kuchangamka kubaniwa fursa ya mikopo na msada sijambo dogo
 
Ona jinga hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…