😁😁😁😁 hebu acha hizo.Kwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena
Si kasema anataka kukuza uchumi kwanza umeshukaMama anakwepa homa ya tozo mpya, huko Burundi Bora angebaki ashughulikie uchumi aisee
Kwani Burundi tunauza nini?Ni ujinga tu wa viongozi waliopita kushindwa kuufungua mkoa wa kigoma. Vinginevyo burundi ni soko kubwa sana na nirahisi kuingia kule tofauti na nchi kama rwanda na uganda.
Kwaiyo ulitaka atembelee kwenu matomboLeo Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya siku mbili nchini Burundi. Huyu ni kiongozi wa tatu wa juu kutembelea nchi hiyo ndani ya awamu hii ya sita. Alianza Makamu wa Rais Dr. Philip Isidor Mpango akafuata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Nchi hii inaumuhimu gani kwetu kwa viogozi wetu wakuu kuelekeza nguvu zao huko, je soko lao ni kubwa kuliko nchi nyingine za ukanda wa Maziwa Makuu? au ni sababu za kiusalama.
Una haiba ya kichawiKwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena
Uchumi ukuzwa kwa kuchochea uzalishaji na sio kukamua uzalishajiSi kasema anataka kukuza uchumi kwanza umeshuka
Hatuuzi litu kwasababu njia za mawasiliano kule ni duni barabara reli n.k ujinga wa viongozi kupeleka vipaumbepe kusiko sahihi. Inashangaza SGR ilikuwa inapelekwa kwa kagame nchi moja walati burundi kiuahilisia unakua umegusa mkoa wa kigoma na nchi ya DRCKwani Burundi tunauza nini?
Hapo anakuza au anauua mazima, alisema anataka wawekezaji wake huku sheria kandamizi zote hazijabadilishwa,kuongeza mikodi kila Kona ni mwekezaji gani unafikiri atarudi Tanzania?Si kasema anataka kukuza uchumi kwanza umeshuka
Kagame Hana ujanja wowote acheni kumkuza bureNi kukuza mahusiano kati yetu, Rwanda anaogopwa yule jamaa naona katuzidi ujanja tumeona bora tumkimbie tu.
Soko kubwa la nini?Ni ujinga tu wa viongozi waliopita kushindwa kuufungua mkoa wa kigoma. Vinginevyo burundi ni soko kubwa sana na nirahisi kuingia kule tofauti na nchi kama rwanda na uganda.
Burundi ni ka mkoa wa Tanzania. Karibia kila kiwanda cha Tanzania kinauza Burundi. Halafu wapo very friendly kwa watanzania. Na mimi naenda huko wiki ijayo. Ni rahisi sana kuwekeza Burundi kuliko nchi zote, including Tanzania.Kwani Burundi tunauza nini?
Fungua mkoa wa kigoma kimiundo mbinu reli au barabara kisha uone mazao yatakavyo kuwa yanavuka kwenda huko...Soko kubwa la nini?
Hakuna loloteKwani Burundi tunauza nini?
Mkuu mungu hachelew kujibu maombi tusubili tu yan wenyew wanainjoy maisha sisi wanaendelea kutukandamiza kwa makusud kabisaKwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena