johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani kesho The Cranes ya Uganda haichezi?Burundi leo iimetoka sare ya 1 - 1 na Gabon na hivyo kufuzu kwa fainali
za Afcon huko Misri.
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV habari!
Hahahaa....... Umeisoma ilani ya CCM wewe!hii habari nayo ni jukwaa la siasa,,,,
lumumba ni empty brain kabisa
ilani ya ccm itanisaidia nini?Hahahaa....... Umeisoma ilani ya CCM wewe!
24.mkuu samahani, hivi afcon kwa sasa zitashiriki team ngapi? maana kama afrika mashariki tu team 3 now na Tanzania inadaiwa yaweza fuzu hapo kesho, mbona tanzania hatukuwahi kushinda mechi zaidi ya mbili mfululizo.. na tunapeta tu ama hapo mambo yapoje.
Labda itashinda njaa na jioni inywe bia za promotionBurundi leo iimetoka sare ya 1 - 1 na Gabon na hivyo kufuzu kwa fainali za Afcon huko Misri.
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV habari!
Wanakunywa bia bureBurundi leo iimetoka sare ya 1 - 1 na Gabon na hivyo kufuzu kwa fainali za Afcon huko Misri.
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV habari!
Hii chai aionje Bashite kwanza ajue ladha yake then sisi ndio tutakunywa
Kila la heri Cape Verde ama Lesotho!!
Kaka isije ikawa mbaya kwetu kulingana na matokeo ya lesoto na cape verde. Maana watanzania tumeaminishwa sana kwamba kesho tunafuzu bila kusema ukweli juu ya matokeo ya wenzetu tulionao kundi 1.
Kama ikitokea kwa baati mbaya tukakosa nafasi kulingana na matokeo ya cape na lesotto basi majuto yatakuja kwenye mechi tuliopoteza dhidi ya lesoto.
Kila laheri stars
Hii chai aionje Bashite kwanza ajue ladha yake then sisi ndio tutakunywa
Sent using Jamii Forums mobile app
For the first time in the history we qualified in the Africa cup of the nation wa Bongo msijali we will represent you as a member of East Africa bado kiwango cenu ca mpira kipo down saaana #Proud to be Burundian[emoji120]Burundi leo iimetoka sare ya 1 - 1 na Gabon na hivyo kufuzu kwa fainali za Afcon huko Misri.
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV habari!
Majuto sio kwa mechi tuliyopoteza bali majuto yapo kwenye ile mechi tuliyotoa sare kule azam complex dhidi ya Lesotho, ilibidi kila mtu ashinde kwakeKaka isije ikawa mbaya kwetu kulingana na matokeo ya lesoto na cape verde. Maana watanzania tumeaminishwa sana kwamba kesho tunafuzu bila kusema ukweli juu ya matokeo ya wenzetu tulionao kundi 1.
Kama ikitokea kwa baati mbaya tukakosa nafasi kulingana na matokeo ya cape na lesotto basi majuto yatakuja kwenye mechi tuliopoteza dhidi ya lesoto.
Amina!Kila laheri stars
Kigoma zimejaa tereeeeHivi Primus bado ipo..chupa yake ni kubwa sana...nilikwenda huko miaka mingi...hata kigoma zilikuwa zinakuja