johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Burundi leo iimetoka sare ya 1 - 1 na Gabon na hivyo kufuzu kwa fainali za Afcon huko Misri.
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV habari!
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV habari!