dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Je TATA Marcopolo?
Anyway, niliwahi kusikia unalipa upfront Tshs 32Mil then unawepelekea Tshs 2.1Mil kila mwezi x 18months.
Duh..! km nihivyo mbona ni GHALI sana siafadhali ukanunue YUTONG..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je TATA Marcopolo?
Anyway, niliwahi kusikia unalipa upfront Tshs 32Mil then unawepelekea Tshs 2.1Mil kila mwezi x 18months.
Acha kuwadanganya watu na hizo zikizoko barabarani ziinatembea kila siku nyingi tu za Islam mwaka wq nne huu anapiga ruti ya dar moro dar iringa na huu ndo ujinga mnaodanganyana Watz na kulishana sumu hata na kwenye magari mengine mmezoea Toyota tuu
Nakubaliana na wewe,pia hizo gari ni chovu kwa safari ndefu bei yake ni 80m nenda pale posta km upo dar opposite holiday innzile gari za Islam usizione vile.Nje ndio zina body ya eicher lakini engine na kila kitu chake ni Isuzu forward.!!.Hata mngurumo wake wa engine tofauti na hizi eicher.Kiufup Eicher zinachemsha balaa hasa kwa safari ndefu.
Ujinga uko wapi sasa mkuu.kama unajua mjibu muuliza swali....au piga kimya Mfukunyungu
Mkuu mbona hujawa Msaada kwa wanaotafuta taarifa za hiyo GARI? umeishia kuonya2 hebu funguka zaidi ndg yetu....!!
Hilo ndo uwoza, achukue costakiukweli eicher sio gari kabisa kama unataka kufanya biashara ya daladala kuna dcm halichoki
Mkuu niaje, nilikuwa nasoma soma hapa nkaona thread yako apa, naomba unibeep kwenye namba yangu ili tuwasiliane kuhusu wapi pakuzipata hizi gari aina ya DCM kwa Dar es salaam. Namba yangu ni 0753122225. Ahsante.kiukweli eicher sio gari kabisa kama unataka kufanya biashara ya daladala kuna dcm halichoki