Unatokea wapi mbona haujasema? Au tu assume itakuwa dar?Wadau ninaomba msaada wenu, nina safari ya Iringa natarajia kutumia usafiri wa Bus, hivyo basi ninaomba ushauri wenu nipande Bus gani ambalo ni luxury (full ac, siti zisizobanana, charger USB Port), pamoja na huduma nzuri.
Sina uhakika. Wana Dodoma dar na Dodoma mbeya ambayo haya ya mbeya ndiyo yanapita Iringa.Ninatokea Dar es Salaam, Asante. Kimbinyiko wanayo ya kutoka dar to Iringa?
Mkuu huyu sumry si alishaacha biashara kama sikosei?