Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

Bwana Bima

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
429
Reaction score
929
Sauli ni kampuni inayomilikiwa na bilionea Mtanzania pande za chunya Mbeya. Hapa kati baadhi ya gari zake muhimu zilipotea ghafla tu akibakiwa na gari nne tu lakini bado anajitahidi.

Dereva wake wako makini sana licha ya mwendo wanaotembea. Si rahisi kusikia kampuni hii madereva wakiangusha gari kama ilivyo New Force. Ndio sababu ina mashabiki wake àmbao huwaambii kitu. Ni matumaini yangu gari zake zingine zitarudi na kuanza kazi mara moja
 
Aisee kuna hyo DPN 685 aisee ile ni noma jamaa wanatembea mwendo mkali sana lakin dereva wake wako makin kama asemavyo mleta mada hata Mimi sijawah sikia ajar wakat jamaa ndo anaongoza kutoka nduki nawakumbusha utamu wa sauli utaukuta kitonga wakat wa kurud mbeya kutoka dar mzee anapanda kwa timing Kali unajua kitonga ni hatar kukaa nyuma ya malori ye anayapangua yote
 
Nakukumbusha utamu wa sauli upo kitonga dar to mbeya unavorud ye hakai nyuma ya malori eneo lile ni hatar ye anaunga moja kwa moja kukaa nyuma ya malori kitonga ni hatar sana
Ni kweli kukaa nyuma ya Malori huwa ni risk sana pale Kitonga.

Ila muhimu ku-overtake kwa tahadhali
 
Back
Top Bottom