Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

Sauli ni basi na nusu, nilienda nalo mbeya safari ile ilikuwa Safi sana, chuma imechoka kiasi lakini inavopangua Michina mipya kama imesimama..
Wakati wakurudi naenda kukata tiketi nakuta siku tatu mbele chuma imejaa..ikabisi nipande mchina new force basi njiani naona dereva wa new force alijitahidi kupambana sana ila mwisho wa siku sauli ni sauli tu.
Roho iliniuma naona chuma inapotea hiyoooo kama mmesimama.
Hongera zao Sauli
 
Mkuu wasio mjua mnyama sauli watakuona mnazi lakin tunaojua shughuri ya yule mwamba peleka yutong yako mpya uone anavokuchachafya inaitwa iache iende
Sauli ni basi na nusu, nilienda nalo mbeya safari ile ilikuwa Safi sana, chuma imechoka kiasi lakini inavopangua Michina mipya kama imesimama..
Wakati wakurudi naenda kukata tiketi nakuta siku tatu mbele chuma imejaa..ikabisi nipande mchina new force basi njiani naona dereva wa new force alijitahidi kupambana sana ila mwisho wa siku sauli ni sauli tu.
Roho iliniuma naona chuma inapotea hiyoooo kama mmesimama.
Hongera zao Sauli
 
ashafilisika yule magari mengne yamekamatwa na bank kisa madeni
 
Mkuu nisamehe kama nimekukwaza ,mwenye ID yake nae anisamehe maana nimekuwa mbele kujibu mada ni sababu thread aliyoanzisha imenikosha maana na Mimi ni mnaz wa sauli muanzisha Uzi wala hajijibu
Multiple ID
Unaanzisha mada unajijibu na ID nyingine
 
Gari ishachoka ile, soon atapaki zote.

Kuna bus mpya, kina Achimwene gari safi, huduma nzuri ipo kasi na haijachoka kama sauli.
 
Achimwene ni mpya ,lakin bado ligi ya sauli hawaiwez labda wamuombee yote yaaribike lakin bira hivyo anawakimbiza pamoja na magari yao mapya
Gari ishachoka ile, soon atapaki zote.

Kuna bus mpya, kina Achimwene gari safi, huduma nzuri ipo kasi na haijachoka kama sauli.
 
Sauli si unaona ile logo yake ya spade na sululu sijui anawakilisha kaz yake ,na ile mipikipiki Aliochora pembeni wanaomfahau wanasema alikuwa anatoka na pikipiki toka chunya had dar pikipiki kweli kama ile ya wazungu mikubwa haina minyororo inapropera
 
Endeleeni tu kushabikia upuuzi siku ikichinja msiwalilie Tanroad kuwa wapanue barabara.
 
Wengi wamenijibia kila swali na comments. Wengi wanajua kwann sauli ni gari bora sana. Madereva wake wako makini mno. Huwezi kusikia gar za sauli zinapinduka hata siku moja. Haya mambo ya kugonga yapo na yanatokea lakini sio kupindua gari kiasi cha kuhatarisha maisha ya wateja. Scania ni gari nzuri sana. Gari inayomsumbua ambayo nadhani ni kwasababu ya gharama za matengenezo ni ile Benz. Lakini zingine zote Newforce hua wanafurukuta na ataharibu gari zake zote hizi hata miaka 10 ijayo zitaendelea kupiga kazi
 
Back
Top Bottom