Bus zuri la kwenda moshi

Wapo vizuri hao japo siishi huko.
 
Mabasi Mazuri nchii kwakweli tunapaswa kumpongeza Shabiby na Kimbinyiko kwa Usafi na uendeshaji wao nawaombea sana mjitaidi sana na pia mjitanue mpaka sehemu ngingine
 
La kutokea wapi?

Kama Dar au morogoro kuna lakrome au lim safaris

Kwangu LIM is the best. Yapo vizuri na wanajali muda.
 

Asante mkuu
 
Moro au Dar to Arusha .25000 tsh moshi 23000 tsh
LIM safaris na lakrome.

Kuna uzi wa namna hii tena una comments zaidi ya 600.

Waoooooo...my daby huyo..natokea kwa bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…