Busara na Hekima ya Easther Bulaya kwa wanaohama Vyama

Ukihama chama huwezi kukisema vibaya, ila ukihamishwa chama, lazima waliokuhamisha wakutumie kuchafua chama chako ulichohama. Na hakuna jinsi lazima ufanye watakavyo ili wakuwezeshe njia yako ya kwenda chooni isiote majani.
Uko sahihi.
 
Ukihama chama huwezi kukisema vibaya, ila ukihamishwa chama, lazima waliokuhamisha wakutumie kuchafua chama chako ulichohama. Na hakuna jinsi lazima ufanye watakavyo ili wakuwezeshe njia yako ya kwenda chooni isiote majani.
How the mighty have fallen!

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…