Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikae napoteza my wifi au muda wangu kusikiliza hili taahira?
Jeeez
Pita kimyakimya tuu wala sio taabu
[emoji23]Nimeongea sasa,what says yuh?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] umesikia alichokiongea kuhusu magufuli?Nikae napoteza my wifi au muda wangu kusikiliza hili taahira?
Jeeez
BangiiiAchana na yale matukio yake flaniflani machache, binafsi huwa namuelewa sana huyu bwana mkubwa
View attachment 1663019
Ametengua radhi yake hataki msamaha wenuAmeomba radhi leo, maumivu yalipitilizaaaa
Atajua yy na mungu wkAmeomba radhi leo, maumivu yalipitilizaaaa
Nadhani hili lilikuwa la bahati mbaya. Moja ya mashairi yake "Jebby ft Af. Sele-Swaiba" alikiongelea kifo vizuri ya kuonekana kukikubali hata kama si kukielewa"Ametengua radhi yake hataki msamaha wenu
Kumbe unamatatizo tangu zamaniAchana na yale matukio yake flaniflani machache, binafsi huwa namuelewa sana huyu bwana mkubwa
View attachment 1663019
Wacha kui Entertain upumbavu huyo jamaa alichoongea hapo ni upumbavu, RubbisRubbishKwani hapo ni zamani??