Kheri ya mwaka mpya wana Jf kila pande mlipo.
Wandugu, mwishoni mwa mwaka jana nilijitambua kuwa sistahili kuendelea kuishi peke yangu ktk dunia hii, hivo niliamua kwenda home kutafta atakae nifaa. Namshukuru Mungu nilimpata.
Ndugu zangu wana Jf, ktk mazungumzo yetu tulikubaliana kupima(tulifanya hivo) kabla ya jambo hili kulifikisha kwa wazazi.
Tatizo ni kwamba wazazi(upande wa binti) wanatia uzibe kwamba tuko majirani sana pale kijijini na mimi ni Mkristo nae ni Muislam!! Mzazi mmoja (kiume) hana noma sana ila mwingine ni noma!
Nimejaribu kutumia watu ili kushawishi juu ya jambo hili lakini wapi!!
Binti mwenyewe anasema "japo ni busara kuwasikiliza wazazi wake maana ndo wamemfikisha hapa hadi namuona lakini kama wataendelea kutia ngumu BASI TUBEBANE TU!"
Je wandugu nifanyeje maana natamani sana kufunga ndoa? Kubebana sitaki!! Wandugu mpaka sasa nimerudi kibaruani ugaibuni najiuliza la kufanya!!
BUSARA ZENU JAMANI!!
Wandugu, mwishoni mwa mwaka jana nilijitambua kuwa sistahili kuendelea kuishi peke yangu ktk dunia hii, hivo niliamua kwenda home kutafta atakae nifaa. Namshukuru Mungu nilimpata.
Ndugu zangu wana Jf, ktk mazungumzo yetu tulikubaliana kupima(tulifanya hivo) kabla ya jambo hili kulifikisha kwa wazazi.
Tatizo ni kwamba wazazi(upande wa binti) wanatia uzibe kwamba tuko majirani sana pale kijijini na mimi ni Mkristo nae ni Muislam!! Mzazi mmoja (kiume) hana noma sana ila mwingine ni noma!
Nimejaribu kutumia watu ili kushawishi juu ya jambo hili lakini wapi!!
Binti mwenyewe anasema "japo ni busara kuwasikiliza wazazi wake maana ndo wamemfikisha hapa hadi namuona lakini kama wataendelea kutia ngumu BASI TUBEBANE TU!"
Je wandugu nifanyeje maana natamani sana kufunga ndoa? Kubebana sitaki!! Wandugu mpaka sasa nimerudi kibaruani ugaibuni najiuliza la kufanya!!
BUSARA ZENU JAMANI!!