HAPANA!!Hivi huyu ndie uliyekuwa unamuullizia hapa chini?????????
Mungu akujaalie baraka tele na busara zaidi!!Kwanza nakupa pole,tukirudi kwenye mada mi sishauri muoane kama wazazi hawajaafiki make kila mtu ana nafasi yake na wazazi wana nafasi yao ktk ndoa yenu na kama mnataka muish kwa aman wasikilize wazazi wenu
Nashukuru sana kwa mchango wako wa dhati, kimsingi ni kwamba binafsi siko tiyari kubadili imani yangu, ila binti anasema ilo si tatzo pia mzazi mmoja (kiume) hana comment kuhusu imani, mmoja tu ndie "ukuta wa Israeli dhidi ya Parestina!!" Najitahidi kuwa wazi ili nipate ushauri wa maana.STIDE: Nikupe pole sana kwa changamoto hiyo uliyokutana nayo. Katika utafutaji wako wewe hukuangalia swala la imani, lakini wazazi wa huyo binti kwao ni muhimu sana. Swali la muhimu kwako, je uko tayari kubadilisha imani ili uweze kukubaliwa kupewa huyo binti??. Nafikiri huu ni uamuzi wa muhimu sana kwako. Kama huwezi, basi nafikiri anza mchakato upya, na ukimshirikisha Mungu ili akupe wa kufanana na wewe. All the best!
Nashukuru sana kwa mchango wako wa dhati, kimsingi ni kwamba binafsi siko tiyari kubadili imani yangu, ila binti anasema ilo si tatzo pia mzazi mmoja (kiume) hana comment kuhusu imani, mmoja tu ndie "ukuta wa Israeli dhidi ya Parestina!!" Najitahidi kuwa wazi ili nipate ushauri wa maana.
Huyu mzazi nifanyeje kumlainisha!!? Chukulia ingekutokea!!